Ludewa waanza kuchapana baada ya utapeli wa maji vijiji kumi vya bank ya dunia

Mchaga 25

JF-Expert Member
Oct 29, 2011
464
114
Katika hali isiyo ya kawaida uvunjifu wa amani umeanza kutokea wilaya ya ludewa baada ya wanakijiji kuanza kudai fedha zao ambazo walizichanga kama fedha za kianzio katika miradi ya vijiji kumi maarufu ya world bank lakini ni ADB. Utapeli huu umefanywa na kila mwansiasa aliye madarakani kuanzia......., wabunge, madiwani, wenyeviti mpaka shina. Sasa hali ni mbaya sio ludewa tu hata vijiji vingine ni baada ya serikali kushindwa kupata fedha ya kugharamia vijiji kumi na kuishia 2 au 3 ikiwa wamechukua hela za wanavijiji kuanzia 2006. Mbaya zaidi wanakijiji wanasema fedha zao zinapungua kila mwezi kwa kukatwa 8000 kama bank charges hivyo kudai bora zirudisshwe wagawiwe wale sasa ndio kitimtim kimeanzia ludewa. Chondechonde wizara ya maji toeni muongozo amani inakaribia kuvunjika wilaya zote semeni kabisa michango ya vijiji ambavyo hamta gharamia ifanyweje damu itamwagika.
Ludewa juzi FFU wamezima jaribio lakini ni kwa muda tu.

DEO filikonjombe nenda jimboni sio kukaa tu unatulia kwa kuwa madunda wamepata maji na umeme usio wa Tanesco kutoka shirika la ACRA na kuacha maeneo mengine ya jimbo watu wauane maji hakuna.
 
dah! Poleni sana watanzania wenzangu,hii serikali ya ovyo kabisa. Nalog off
 
Katika hali isiyo ya kawaida uvunjifu wa amani umeanza kutokea wilaya ya ludewa baada ya wanakijiji kuanza kudai fedha zao ambazo walizichanga kama fedha za kianzio katika miradi ya vijiji kumi maarufu ya world bank lakini ni ADB. Utapeli huu umefanywa na kila mwansiasa aliye madarakani kuanzia......., wabunge, madiwani, wenyeviti mpaka shina. Sasa hali ni mbaya sio ludewa tu hata vijiji vingine ni baada ya serikali kushindwa kupata fedha ya kugharamia vijiji kumi na kuishia 2 au 3 ikiwa wamechukua hela za wanavijiji kuanzia 2006. Mbaya zaidi wanakijiji wanasema fedha zao zinapungua kila mwezi kwa kukatwa 8000 kama bank charges hivyo kudai bora zirudisshwe wagawiwe wale sasa ndio kitimtim kimeanzia ludewa. Chondechonde wizara ya maji toeni muongozo amani inakaribia kuvunjika wilaya zote semeni kabisa michango ya vijiji ambavyo hamta gharamia ifanyweje damu itamwagika.
Ludewa juzi FFU wamezima jaribio lakini ni kwa muda tu.

DEO filikonjombe nenda jimboni sio kukaa tu unatulia kwa kuwa madunda wamepata maji na umeme usio wa Tanesco kutoka shirika la ACRA na kuacha maeneo mengine ya jimbo watu wauane maji hakuna.

Amani ilishavunjwa long time tangu mafisadi waliposhika kasi na wala haukuanzia ludewa, hayo huko Ludewa ni matokeo tu ya amani kuvunjwa long time ago.

Uelewe kwamba Tz hamna amani ila kuna uvumilivu ambao watu wengi wamekuwa wakidhani ni amani.
 
Uongozi wa kijiji kwa kuwa wanahisi kuwa wameshirikiana na serikali kuwaibia hivyo kukimbilia polisi na halmashuri ya ludewa DC na DED waingia mitini
 
Katika hali isiyo ya kawaida uvunjifu wa amani umeanza kutokea wilaya ya ludewa baada ya wanakijiji kuanza kudai fedha zao ambazo walizichanga kama fedha za kianzio katika miradi ya vijiji kumi maarufu ya world bank lakini ni ADB. Utapeli huu umefanywa na kila mwansiasa aliye madarakani kuanzia......., wabunge, madiwani, wenyeviti mpaka shina. Sasa hali ni mbaya sio ludewa tu hata vijiji vingine ni baada ya serikali kushindwa kupata fedha ya kugharamia vijiji kumi na kuishia 2 au 3 ikiwa wamechukua hela za wanavijiji kuanzia 2006. Mbaya zaidi wanakijiji wanasema fedha zao zinapungua kila mwezi kwa kukatwa 8000 kama bank charges hivyo kudai bora zirudisshwe wagawiwe wale sasa ndio kitimtim kimeanzia ludewa. Chondechonde wizara ya maji toeni muongozo amani inakaribia kuvunjika wilaya zote semeni kabisa michango ya vijiji ambavyo hamta gharamia ifanyweje damu itamwagika.
Ludewa juzi FFU wamezima jaribio lakini ni kwa muda tu.


DEO filikonjombe nenda jimboni sio kukaa tu unatulia kwa kuwa madunda wamepata maji na umeme usio wa Tanesco kutoka shirika la ACRA na kuacha maeneo mengine ya jimbo watu wauane maji hakuna.
Deo hayuko nchini kwa sasa fanya utafiti kabla hujaongea.....
 
Deo hayuko nchini kwa sasa fanya utafiti kabla hujaongea.....

Wewe kweli unatumia masaburi kufikiri kwani ujumbe hautamfikia unafikiria JF inaishia manzese muone hovyo ukweli unaumwa mmetapeli watu kwa maji ya vijiji kumi na petrol station akauza ili apate ubunge ngoja mwaka 2015 atauza nini!!!!!!!!pyeeeeeeeeeeeeeee
 
Matokeo yapi ya watu wauane kwa sababu hakuna uongozi wakutolea maelezo matatizo yao??? au matokeo ya deo kwenye uchaguzi kushinda kwa kuhonga na kuwekea chuki watendaji wa halmashauri ya Ludewa??? Deo hana tofauti naaaaaaa........ kwa visasi na jazba hafai kuwa kiongozi wewe kama secretary wake naomba umueleze. Bye the mission wamechukua shule yao mwambie akajenge japo darasa moja pale port watoto hawana pakusomea.

Unaonyesha wazi kama unachuki binafsi utakubalii matokeo tu japo kimnya kimnya.....
 
Amani ilishavunjwa long time tangu mafisadi waliposhika kasi na wala haukuanzia ludewa, hayo huko Ludewa ni matokeo tu ya amani kuvunjwa long time ago.

Uelewe kwamba Tz hamna amani ila kuna uvumilivu ambao watu wengi wamekuwa wakidhani ni amani.

Ni mtazamo wako wa kipadre.
OTIS.
 
Kwasababu Masaburi yako sio makubwa kama ya falcon ndio maana huelewi kwani hakieleweki nini ?? Kwamaba watu waliahidia maji vijiji kumi na kuchanga initial fund m 15 na mradi hakuna wanadai warudishiwe hela zao kwa mapigano huko ludewa!!!
Habari haieleweki.
 
Matokeo yapi ya watu wauane kwa sababu hakuna uongozi wakutolea maelezo matatizo yao??? au matokeo ya deo kwenye uchaguzi kushinda kwa kuhonga na kuwekea chuki watendaji wa halmashauri ya Ludewa??? Deo hana tofauti naaaaaaa........ kwa visasi na jazba hafai kuwa kiongozi wewe kama secretary wake naomba umueleze. Bye the mission wamechukua shule yao mwambie akajenge japo darasa moja pale port watoto hawana pakusomea.

Unalo lilokuka na roho ebu liseme au unataka upewe wewe? Kesha pewa Deo ukitaka ndio yeye kwa sasa hutaki ndio yeye ....2015 tutamkubali atakae kuja hata ukuwa wewe ni sawa tu....
 
Deo hayuko nchini kwa sasa fanya utafiti kabla hujaongea.....
upo sahihi arabianfalcon, mhe deo filikunjombe amesafiri kikazi nje ya nchi, na kama nilimwelewa vema safari hii ina tija zaidi kwa wana ludewa. asante falcon kwa kutujuza.
 
upo sahihi arabianfalcon, mhe deo filikunjombe amesafiri kikazi nje ya nchi, na kama nilimwelewa vema safari hii ina tija zaidi kwa wana ludewa. asante falcon kwa kutujuza.

yani hakika kuna haja ya kuwa tupewa interview kabla ya kuwa member wa Jamii forum Haiwezekani kukawa na vilaza wengi hivi. Hata kutengeneza argument huwezi wewe ni mtu wa ludewa ipi??? mbongo, manda, lupande, mlangali au lifue wanapokamatana uchawi?? bure kabisa afadhali hata Kolimba alikuwa na akili kidogo
 
na petrol station akauza ili apate ubunge ngoja mwaka 2015 atauza nini!!!!!!!!pyeeeeeeeeeeeeeee
aliuza petrol station ya halmashauri ya wilaya ya ludewa au aliuza petrol station yake yeye mwenyewe? Tujuze, please. Ninachojua mie kile kisima cha mafuta ni mali yake Filikunjombe, kwa hiyo ana haki na kukifanya chochote atakacho.
 
yani hakika kuna haja ya kuwa tupewa interview kabla ya kuwa member wa Jamii forum Haiwezekani kukawa na vilaza wengi hivi. Hata kutengeneza argument huwezi wewe ni mtu wa ludewa ipi??? mbongo, manda, lupande, mlangali au lifue wanapokamatana uchawi?? bure kabisa afadhali hata Kolimba alikuwa na akili kidogo
wewe ni mchaga ehe tuachie ludewa yetu!!!!
 
aliuza petrol station ya halmashauri ya wilaya ya ludewa au aliuza petrol station yake yeye mwenyewe? Tujuze, please. Ninachojua mie kile kisima cha mafuta ni mali yake Filikunjombe, kwa hiyo ana haki na kukifanya chochote atakacho.
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, napita mie hakika ubunge gharama wacha yeye aende nnje ya nchi akatafute misaada kwa watu wake teh teh hehehheeeeeeee uchaguzi gharama bwana.....hehehehe atauza nini tena bila kusaka za wazungu za msaada teh teh fikra mgando tegemezi. Mfikishie salaam mwambie watu wanauana ndio hoja yangu ya msingi swala ni usanii wa miradi ya maji vijiji kumi full stop. hayo mengine mazungumzo baada ya habari. Mwambie kesi inaendelea ile ya kumfu................... hehehehe raha utamu
 
Back
Top Bottom