Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Upi ule wa mipasho au?Hebu ona sasa, keshastaafu anaweza kufanya muziki, halafu ule mziki wa mwambao unamfaa sana
Upi ule wa mipasho au?Hebu ona sasa, keshastaafu anaweza kufanya muziki, halafu ule mziki wa mwambao unamfaa sana
Mimi nikimuona tu nahisi kuibiwa kuraLubuva simpendi sana
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), Jaji Damian Lubuva amewataka wanasiasa walioshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu waache kujitangaza kuwa walishinda, akisema wanapotosha wananchi.
Huo huo mkuu, akiungana Na isha mashauzi, hapa Hadija kopa kule Mzee Yusufu, a cha kabisaUpi ule wa mipasho au?
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeh, hao ndio viongozi wetu wazee wa tokomileHuo huo mkuu, akiungana Na isha mashauzi, hapa Hadija kopa kule Mzee Yusufu, a cha kabisa
He he he weka mbali Na watotoTeeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeh, hao ndio viongozi wetu wazee wa tokomile
Duuuu, kama lile tangazo la kina john cena?He he he weka mbali Na watoto
Wamechanganyikiwa na kasi ya Magufulini kosa la jinai kusema wao walishinda ka si kuchakachuliwa matokeo
kama uchaguzi umeisha sio lowassa tu au lubuva wote tukae kimya, au tuongee wote.......Lubuva anaogopa kivuli chake.
Na bado dhambi ya kupotosha matokeo itamtesa mpaka kaburini.
sasa mbona anaigizaigiza kila kitu kama rais wa kiukweli. si abaki mioyoyoni mwenu tu nyie nyumbu. rais akisimamishwa na wananchi safarini ahahutubie na yeye eti anaigiza kasimamishwa, rais akionana na wafanyabiashara na yeye anatembelewa na wale wamangi wa kariakoo. rais akikohoa na yeye anajifanya kukohoa. mpaka inaboa huu usanii wa huyo rais wenu. mfungieni mioyoyoni mwenu.. rais wa jmt ni john pombe magufuli.Huyo Lubuva ni nani saa hii hadi atoe maonyo kwa marais wetu wa moyoni?
Huyo ndio Jecha wetu bara, wakisema wao sawa wakisema wapinzani ooh sheria ina kiukwa sijui hakusikia m/kiti wa chama chake akijitangazia ushindi Zanzibar.Mkuu haki ya MTU huwa haipotei bure, Mzee anaweweseka huku moyo unamsuta kwa alichofanya
Ule msemo wa uzee mwisho chalinze una madhara makubwa sana, Siku hizi hakuna wazee wenye busara hata km kichwa chake chote kina ukoka mweupe, Na hii yote inatokana Na wawezee wenyewe kutojiheshimu, kujiona bado vijana Na hawahitaji kupewa heshima kulingana Na umri Wao, ovyooo kabisa