MASIKITIKO
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 959
- 428
Waziri mkuu aliyejiuzuru EL amesema"viongozi wanaotakiwa kuwajibika kwa kujiuzuru Serikalini wafanye hivyo kama alivyofanya yeye" SOURCE TBC1 habari 20:00
Waziri mkuu aliyejiuzu EL amesema"viongozi wanaotakiwa kuwajibika kwa kujiuzuru Serikalini wafanye hivyo kama alivyofanya yeye" SOURCE TBC1 habari 20:00
Hii santuri ya Lowassa karibu itachuja sasa. Hata kama ana mengi ya kusema, siyo kila siku yeye tu.[/QUOTE
Mkuu,ni kweli kayasema hayo,tena aliulizwa swali na Kisu ndo akasema "wawajibike"kama alivofanya yeye. C suala la kuendeleza "santuri"
Huyu jamaa ana matatizo makubwa sana...Ni bahati mbaya sana kwamba hajui hili.....
Kama kweli anataka kuwa Rais wa nchi hii 2015, basi keshatibua kila kitu kwa sababu tayari anakaribia kumaliza missiles zake zote!!