- Thread starter
- #41
Sina uhakika kama umefanya analysis vizuri. Basically unachosema ni kwamba Mwanahalisi haliwezi kukaa mwezi mmoja mzima bila kuandika ccm! Ni gazeti gani jengine linaweza kukaa mwezi mzima bila kuandika ccm?. Nimetumia jina CCM badala ya majina ya Edward Lowassa na Rostam Aziz uliyoandikwa kwa sababu moja kuu. Wanachokifanya mwanahilisi ni kuuabarisha umma kuhusu ccm with a human face!
Hii ni hoja dhaifu kidogo kwa kuwa hakuna namna inauzika hapa,hakuna namna kuwa unapotaka kuiongelea ccm basi ni lazima uwataje Lowasa au Rostam, hii ni kwa ukeli kuwa mambo yeenyewe yanayotajwa kuhusu Lowasa ni yale yaliotokea miaka 3 iliopita na nikichekesho kuwa CCM haina mambo mapya kwa miaka yote mitatu......au ndio fitna zenyewe.