- Thread starter
- #61
Kama unalipenda mimi inanihusu nini sasahakuna gazeti nalolipenda kama mwanahalisi,hizo ni propaganda zako tu
Kama unalipenda mimi inanihusu nini sasahakuna gazeti nalolipenda kama mwanahalisi,hizo ni propaganda zako tu
Akili yako ni fupi unaishia kusema nani kasema na siyo nini kimesemwa...hio ni moja ya dalili ya uwezo mdogo wa akili.Serukamba huwezi kufanana nae hata kidogo....ana historia kwenye siasa ya Tanzania ambayo mtu kama wewe huwezi kufanya:........Peter selukamba anena!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Maneno yako yamegusa wengi. Pamoja na kuwa naamini aliyoyasame Nchimbi,J hakutumwa na Emmanuel Nchimbi, naamini pia hakutumwa maana hata Lowassa na Rostam wenyewe wanajijua kuwa ni mafisadi na wanajijua kuwa wameifikisha nchi hapa ilipo. Ni udhaifu na upofu kusema Lowassa alifanya mema na ni upofu kusifia ufisadi wa EPA (Kagoda) Richmond, Dowans kwa kisingizio cha madawati na udhamini wa ligi na Miss Yanzania. Kwanza usihusishe Vodacom (hata kama Ra ana share) na maovu ya kifisadi, hutawatendea haki wawekezaji wengine wa Vodacom. J.Nchimbi nakuaminia sana lakini kwa holi umetumbukia shimoni na naamini soon utajutia umri wako bado unahitaji kusonga mbele na si kutetea waovu. Angalia future yako kisiasa na kitaaluma ambayo haiwezi kubebwa na Lowassa na RA, wakati wao umepita hata kama unaamini walifanya vyema, ni bora ukampigia deba Emmanuel Nchimbi na hata huyo Serukamba (japo naye hasimami kama yeye) ambao ni vijana na bado wana nafasi ya kusonga mbele.kwa kuwa umetumwa kuja kuwasafisha watu kupitia forum hii, hata kwa kukatwa kichwa bado utaendelea kuita richmond, epa nk upupu. basi kazi yako inaifanya vizuri. Plato aliwahi sema "Wise men talk because they have something to say; fools, because they have to say something"
Naomba ufikirie kidogo tu. Kwanza uko sahihi kwamba urais ndio sababu, lakini unakosea kuona kama ni sababu ya kijinga maana unakua kipofu kuona kwamba urais ni kitu kidogo. Hivi kweli unataka tuache mtu mwenye nguvu ya kisiasa ambaye ni fisadi aje kutawala? Baada ya 2015 Lowassa hatakua issue ya nmagazeti atakua issue ya Rais ajaye kumburuza mahakamaniUfisadi in the true meaning of the term haumaanishi kuwa lowasa ndio kiiiivyo, hebu tuwe wakweli jamani inamaana ufisadi wa nchi hii unawakilishwa na lowasa? Mbona hata sumaye alifikia hatua ya watu kumuona kama kinyesi 2000-2005? Ufisadi wake umeenda wapi? Inamaana kagoda,iptl,ttcl,loliondo gate,mchuchuma,epa,deep green,trc,uuzwaji wa nbc,mikataba mibovu,atcl,nssf-pspf scandals,sugar scandle,mishahara feki..................................zote hizi ni lowasa tuuuuuuuuuu? Anyway,kwa kuwa siasa zetu na uchambuzi wetu ni fuata mkumbo,haiko mbaya,lakini hebu tufanye tafakuri upya,mbona lowasa tu ndo zaidi na si kikwete,mkapa na wengine??? Uraisi kazi kwelikweli-just thinking aloud." fiat justitia.luat caelum"-let justice be done though heavens fall,
Ha ha ha Kwa mara ya kwanza nimejikuta ndani ya kibanda kimoja na Malaria Sugu, Hii ni ajabu sana. Big up Mwana Halisi kwa kutuunganisha japo kwa dakika chache. Twanga kotekote, waasisi wa CCJ na MafisadiMwanahalisi kiboko ndio lilonfanya niwepo hapa mimi. Kwa hivyo ondoa pumba yako hapa
mlikwaruzana kwenye mbio za Ubungo nini Mkuu? Hata hivyo ni kiongozi wako kuna siku atakutuma tu labda kama hupo CCM hiyo ya NapeNape hawezi kunituma mimi hata siku moja hata yeye anajua hilo.......simkubali na wala hatupatani hata yeye anajua hilo.
Nimepapenda sana hapa. Sasa Kikwete aliposema haijui Dowans alikuwa anamdanganya nani? Ndio maana Kubenea ataendelea kusomwa tena na tenaJenga hoja zako na sio umbeya hapa.....mi mi nasema kuwa uwekezaji uliofanywa na Rostam ndani ya tanzania ni muhimu kuliko hata haya majungu mnayoleta hapa.....mna laana nyinyi watu.
1.Kaleta dowans ambayo iliwapa offer ya umeme wa chini kuliko kampuni yeyote binafsi inayozalisha umeme kusini mwa jangwa la sahara.
2.Kaleta gazeti la mwananchi ambalo ndio gazeti bora tanzania katika ujenzi wa demokrrasia.
3.Anadhamini ligi ya vodacom
4.anadhamini miss tanzania
5,Analipa kodi zaidi ya bilioni 40 kwa mwaka
6.Katoa ajira kwa zaidi ya watanzania elfu tatu
7.Kajenga madarasa na kugawa madawati kwa zaidi ya shule mia tano nchini
Labda ajala chakula na walemavu tu
we timamu kweli au kichaa? Kwa taarifa yako ili gazet linaandika ishu mpya kila wiki tena adimu zinazowakela magamba hadi mkwer.e himself kwan mfano headlines wiki hii LOWASA,ROSTAM KUMZIMA KIKWETE hii haiusiani na richmond, nyingine CCM WAPANGA KUHUJUMU CHADEMA, pia kuna habari hoayoiusu CUF,acha utovu wa nidhamu ongelea unayoyajua yale ya mzalendo,uhuru na jambo leo sio mwanaHALISISi kweli kuwa kuna mambo mengi ambayo yanaibuliwa kama ambavyo unataka kuonyesha hapa.....zaidi ya kuongelea upupu wa richmond na epa ambayo yameteeokea miaka 4 iliopita kuna nini jingine la ziada zaidi ya majungu.
we sio bule unatatzo,analipa kod bil 40 na anatuibia ngapi?Jenga hoja zako na sio umbeya hapa.....mi mi nasema kuwa uwekezaji uliofanywa na Rostam ndani ya tanzania ni muhimu kuliko hata haya majungu mnayoleta hapa.....mna laana nyinyi watu.1.Kaleta dowans ambayo iliwapa offer ya umeme wa chini kuliko kampuni yeyote binafsi inayozalisha umeme kusini mwa jangwa la sahara.2.Kaleta gazeti la mwananchi ambalo ndio gazeti bora tanzania katika ujenzi wa demokrrasia.3.Anadhamini ligi ya vodacom4.anadhamini miss tanzania5,Analipa kodi zaidi ya bilioni 40 kwa mwaka6.Katoa ajira kwa zaidi ya watanzania elfu tatu7.Kajenga madarasa na kugawa madawati kwa zaidi ya shule mia tano nchiniLabda ajala chakula na walemavu tu
Nimeangalia kwa makini sana gazeti la Mwanahalisi kwa zaidi ya miaka mitatu mfululizo bila kukosa na leo nasema kwamba Mwanahalisi ni gazeti maalumu lililoundwa kwa ajili ya kumshughulikia Edward Lowasa na Rostam Aziz.Siku ambayo hawa watu wawili hawatakuwepo basi na gazeti letu kipenzi litakuwa limekufa pia.Leo niko tayari kupinga na mtu yeyote kuwa KAMA MWANAHALISI LIKIKAA MWEZI MMOJA TU HALIJAANDIKA HABARI YA LOWASA BASI NITATOA KWA NILIOPINGA NAE SHILINGI MILIONI MOJA japo ni hela nyingi kwangu ila nina uhakika haziwezi kunitoka kw kuwa Mwanahalisi wanamuota mchana na usiku Edward Lowasa .Kwa kweli Lowasa ni mvumilivu sana ningekuwa mie ningekuwa nimeshafungwa jela kwa kumshughulikia mtu mbaya kabisa ,siwezi kuchezewa namna hii.:angry:
kumbuka Kubenea ashawah kutaka kuuwawa au nawe ulishiriki? Kwan tetes zilizopo ni kuwa jamaa alihusika ktj issue nzima.usijaribu kupaka rangi upepo,aliyeanza kumdili ni Mwalimu Nyerere,mwanahalisi ni mwendelezo wa kazi ya Nyerere.usitumike kwa manufaa ya ndoto za mtu mbinafsi na asokuwa na chembe ya huruma kwa masikin wa Tanzania.aliwaumiza watanzania kwa kulipwa sh mil 152 kila siku ktk ya umasikin huu.jaman acha mwiz apigiwe kelele hadi intellegensia wamkamate.akikamatwa mwanahalis halitamwandika tena.hello r u from magamba family?
ulikula ban kwenye ID ipi vile???!Hahaha. Mwanahlaisi limenitoa ban ya mod. Hongera mwanahalisi kwa kuandika ufisadi
Kwanza niweke rekod vema kuwa mimi situmwi na mtu yeyote na wala sijasema nawakilisha mawazo ya mtu hapa.........ni mawazo yangu na akili yangu.wewe unaona dowans ni ufisadi ni sawa mimi naona dowans ni ukombozi kwa kuwa wameleta umeme na umeme wao wlikuwa wakiuza bei rahisi kuliko iptl,songas na aggreko.hapa ndio nataka tuanzie kubisha kuwa tunataka hata kama watu wachini walikosea lakini ktk makosa yao wakaleta umeme kwa bei ya chini ndio wanakuwa maadui wetu wa maisha au ni yule ambae anatuuzia umeme wa megawts 80 kwa sh mil mia sita kwa siku na bado mko kimya.........kweli huu ni unafiki wa ajabu sana.usipotoshe sijaongelea vodacom hapa.mimi sina haja ya kuwa mwanasiasa kwa kuwa mnafiki na kutokuwa mkweli kama unavyotaka kuonyesha hapaManeno yako yamegusa wengi. Pamoja na kuwa naamini aliyoyasame Nchimbi,J hakutumwa na Emmanuel Nchimbi, naamini pia hakutumwa maana hata Lowassa na Rostam wenyewe wanajijua kuwa ni mafisadi na wanajijua kuwa wameifikisha nchi hapa ilipo. Ni udhaifu na upofu kusema Lowassa alifanya mema na ni upofu kusifia ufisadi wa EPA (Kagoda) Richmond, Dowans kwa kisingizio cha madawati na udhamini wa ligi na Miss Yanzania. Kwanza usihusishe Vodacom (hata kama Ra ana share) na maovu ya kifisadi, hutawatendea haki wawekezaji wengine wa Vodacom. J.Nchimbi nakuaminia sana lakini kwa holi umetumbukia shimoni na naamini soon utajutia umri wako bado unahitaji kusonga mbele na si kutetea waovu. Angalia future yako kisiasa na kitaaluma ambayo haiwezi kubebwa na Lowassa na RA, wakati wao umepita hata kama unaamini walifanya vyema, ni bora ukampigia deba Emmanuel Nchimbi na hata huyo Serukamba (japo naye hasimami kama yeye) ambao ni vijana na bado wana nafasi ya kusonga mbele.
hapana sijawahi kugombea ubunge na wala nafasi yeyote ndani ya CCM kama chama.ni vile tu kuwa uwezo wa nape ni mdogo kwa nafasi aliyonayo.mlikwaruzana kwenye mbio za Ubungo nini Mkuu? Hata hivyo ni kiongozi wako kuna siku atakutuma tu labda kama hupo CCM hiyo ya Nape
Kwanza niweke rekod vema kuwa mimi situmwi na mtu yeyote na wala sijasema nawakilisha mawazo ya mtu hapa.........ni mawazo yangu na akili yangu.wewe unaona dowans ni ufisadi ni sawa mimi naona dowans ni ukombozi kwa kuwa wameleta umeme na umeme wao wlikuwa wakiuza bei rahisi kuliko iptl,songas na aggreko.hapa ndio nataka tuanzie kubisha kuwa tunataka hata kama watu wachini walikosea lakini ktk makosa yao wakaleta umeme kwa bei ya chini ndio wanakuwa maadui wetu wa maisha au ni yule ambae anatuuzia umeme wa megawts 80 kwa sh mil mia sita kwa siku na bado mko kimya.........kweli huu ni unafiki wa ajabu sana.usipotoshe sijaongelea vodacom hapa.mimi sina haja ya kuwa mwanasiasa kwa kuwa mnafiki na kutokuwa mkweli kama unavyotaka kuonyesha hapa