kibaya-kenya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 649
- 165
Mbaguzi huyoo amechinja ngombe ameenda kula na timu yake eti ya 2015 atangoja sana ubaguzi unammaliza huyooooooooooooo
Lowassa kasema kweli.
Wape maneno,wape maneno babaaaa kwa hakika uchaguzi unavyoendlea ndani ya c.c.m nakubaliana na sofia simba kuwa we ndio mwanaume pekee ndan ya c.c.m,lowasaaaaa bhaaaaaaaassssss
Lowassa kasema kweli.
Piga simu Radio 5 waambie,Sound clip walizo nazo wakupe ukae nazo...unaishi dunia ya wapi wewe.
Lowasa akiongea kwenye uchaguzi wa mwenyekiti, amewapa Salamu Wapinzani kuwa uchaguzi ukirudiwa Arusha watalichukua jimbo Mapema iwezekanavyo. Chadema walitumia udhaifu wao kulichukua jimbo.
Wapinzani wanapata kichwa na Maandamano, mikutano mikubwa lakini hawaiwezi CCM, CCM ina nguvu ya Umma, angalia uchaguzi wa Viongozi tu nchi nzima ilitetemeka.
CCM ni chama chenye NGUVU KUBWA.
Source: Radio 5
lowassa anaongea nini? wana arusha ambavyo wamepigwa kuuwawa na kuteswa na polisi wa hii serikali ya ccm, 2015 arusha nzima itakua chadema isipokua tu jimbo lake monduli...
Kwani kama wa Tz tupo Milion 50,yeye akatoa mil 200,akagawa Tanzania nzima,yani kila mmoja akagawa mil 5 kwa kila mTZ HAITATOSHA HIYO FEDHA.na mkampigia kura.