Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,060
- 22,755
Kama hizi ndizo hesabu alizotumia mamvi katika kuitabiria CCM ushindi, basi iko kazi.. zubedayo_mchuzi, kama elimu yako ya kata ndiyo hii, pole sana.zubedayo_mchuzi said:Kwani kama wa Tz tupo Milion 50,yeye akatoa mil 200,akagawa Tanzania nzima,yani kila mmoja akagawa mil 5 kwa kila mTZ HAITATOSHA HIYO FEDHA.na mkampigia kura.
Last edited by a moderator: