Wakuu
Lets be fair and grown ups!!!
There were too many unnecessary rumors na hasa yale ya kusema kangangania wizara nne, sijui atakua PM etc
We cant build our country through rumors
Mimi nakumbuka SUmaye na Salim A. Salim walivyopigwa dongo. Ilikuwa shughuli kwelikweli. Ila kundi lile sasa ndiyo dhamu yao. Ukiwa kwenye nyumba ya kioyoo usirushie mawe walio nje.
Wakuu
Lets be fair and grown ups!!!
There were too many unnecessary rumors na hasa yale ya kusema kangangania wizara nne, sijui atakua PM etc
We cant build our country through rumors
Tena sana. yeye ni bingwa wa kuwachafua wenzake, hajali madhara wanayoyapata, lakini anaguswa kidogo tu, tayari keshang'aka. si atueleze basi kama ni uzushi kwamba nyumba ya balozi wetu sauzi ni yake, au ile ya new york ni ya nani? au kama hana nyumba uingereza, ama majumba yale ya aicc aliyoyanunua kule arusha, nasikia ana maghorofa kila kona dar, achilia mbali viwanja nchi nzima. au anadhani watanzania ni mazuzu eeeh? aende mahakamani akajivue nguo mwenyewe!!!!
Hii ndo shida ya makanjanja wa bongo na wahariri wao, hivi mtu aliye jiuzuru kwa makosa yake ni Mstaafu? Kama sikosei tunao mawaziri wakuu wastaafu watano tu ambao ni SAS, Warioba, Malecela, Msuya na Sumaye, huyu Laiboni ni mharifu tu wala siyo mstaafu!
Huyu lowasa ana bahati mbaya sana, kiukweli kuna viongozi walio madarakani na waliostaafu waliofanya maovu makubwa na kuingiza tanzania kwenye umasikini wa kutupwa na kufanya nchi isiwe na maendeleo kabisa ila hawatajwi kama lowasa, nafikiri hawa viongozi wengine wezi wanafanya kampeni ya kumchafua ili wao wasigundulike maovu yao.Inasikitisha mtu mmoja kushambuliwa tu wakati wezi ni mengi. Mfano shida ya umeme na maji toka awamu ya tatu mpaka leo wameshindwa kuipatia ufumbuzi pamoja na kuwepo mito,maziwa na gesi lakini hakuna lolote limefanyika
si alisema hawakuokotana barabarani? sasa hizi habari zinatoka wapi? white hse au mambo ya nje?Ndio siasa za nchi yetu hizi, kashfa nyingi zaidi zitaendelea kumuandama mpaka pale CCM itakapompata mgombea wake wa uraisi wa mwaka 2015, na kama mtu huyo hatakuwa Lowassa, huo ndio utakuwa mwisho wa Lowasa fisadi na kuzaliwa Lowasa Mzee aliyejitoa muhanga na kukubali kuharibiwa kwa heshima yake ndani ya jamii kwa ajili ya kukinusuru chama na serikali yake.
Kama atahitaji kashfa hizi zisimuandame zaidi kabla ya 2015, itambidi ajisogeze mbaali na mchakato wa kumtafuta raisi wa mwaka 2015, ata Sumaye analijua saaana hili.
Wakuu
Lets be fair and grown ups!!!
There were too many unnecessary rumors na hasa yale ya kusema kangangania wizara nne, sijui atakua PM etc
We cant build our country through rumors
Leo hii unhemshauri nini?Namshauri this time awahi kukimbilia mahakamani. Kutishia nyau hakuna msaada wowote.