Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Sawa mkuu. Ile ya kwenye tangawizi nilikuwa natoa ushuhuda tu wa niliyoyasikia na kisha ndio nikasema kuna watu wengi wanamuunga mkono. Sikuwa na maana ya ile idadi ya wanywa tangawizi wenzangu. Nilikuwa na maana ya watu wengine pia.Kusema kweli kwa sasa hivi baada ya ENL kuanza kuongea kumekuwa na changamoto kubwa kuliko wakati.alipokuwa kimya. Watu wanabishana mahala mahala juu ya yeye kuwa Rais ajaye.Nakubaliana na wewe, mi nlkuwa najaribu kukuelewa kwenye ile post yako nyingine ambapo ulitumia wale wadau wetu wa kwenye "kahawa" ukasema (kwa nukuu isiyonyooka) "EL anakubalika na wabongo wengi nje ya hizi kelele za hapa JF"
Hyo ndio ilikuwa concern yangu.