Mkuu najua siyo sample haiwezi kuwa ndio inawakilish watu lakini pia jua kwamba JF haiwakilishi Watanzania. Pia ni vema akafahamu ya kwamba JF haiwakilishi watanzania hasa wakulima na wakwezi. Tunapeana na kubadilishana mawazo humuMkuu, hvyo hao jamaa zetu wa pande hyo ndio unaitumia kama sample? Ya jimbo, wilaya, mkoa au nchi??
Wapendwa tupanue tafakuri za masuala makuu ya ki-nchi na mustakabali wake badala ya kuendelea kulewa na huu ulevi wa flani bin flani.....
Bado anasafari kwenye michakato ya chama chake, kwanini tusiache historia imtetee....
Haya mabango yanaweza hata kumharibia!
All in all, nguvu ya Lowasa ndo kifo cha CCM, mark my words, LOWASA atakivunja chama nusu kwa nusu na kitakachofuatia na chama kushindwa au kupata ushindi dhaifu utakaokifanya kishindwe kuongoza serikali.
Let's wait and see....
lowasa na jk nani mwizi zaidi?mbona hata epa kinara ni jk hadi kutaka kum mwakyeke gavana.
Jana nilikuwa kwenye vijiwe vya vijana fulani hivi wa maeneo ya hapa dar. Kulikuwa na vijana kama kumi hivi nikajichanganya nao wakaninunulia tangawizi nikawa nakunywa. Gumzo likawa kuhusu uongozi wa nchi hii: vijana wakawa wanabadilishana mawazo kuhusu rais ajaye. Nilishangaa sana kwani vijana saba kati ya wale kumi walisema kwamba nchi hii anatakiwa Lowassa kwa kuwa anaweza kusimamia mambo. Wakasema Lowassa aliwaletea maji watu wa shinyanga. Nikawaambia mbona Lowassa ana kashfa basi mmoja wao akaniuliza hivi nchi hii nani si mwizi? Nikanyamaza kimya nikanywa tangawizi yangu nikaondoka kwenda kunywa Jack Daniels zangu. Sikuwa na jibu nikawaahidi nitarudi leo!
Jana nilikuwa kwenye vijiwe vya vijana fulani hivi wa maeneo ya hapa dar. Kulikuwa na vijana kama kumi hivi nikajichanganya nao wakaninunulia tangawizi nikawa nakunywa. Gumzo likawa kuhusu uongozi wa nchi hii: vijana wakawa wanabadilishana mawazo kuhusu rais ajaye. Nilishangaa sana kwani vijana saba kati ya wale kumi walisema kwamba nchi hii anatakiwa Lowassa kwa kuwa anaweza kusimamia mambo. Wakasema Lowassa aliwaletea maji watu wa shinyanga. Nikawaambia mbona Lowassa ana kashfa basi mmoja wao akaniuliza hivi nchi hii nani si mwizi? Nikanyamaza kimya nikanywa tangawizi yangu nikaondoka kwenda kunywa Jack Daniels zangu. Sikuwa na jibu nikawaahidi nitarudi leo!
Mkuu jaribu kuwa muungwana kama wewe uko makini. Onyesha umakini wako na si kuonyesha umasikini wako wa mawazo. Toa hoja na si kutukana watu.Lowasa ni Kimbilio la watu wanaofikiri kupitia masaburi kama wewe. kwa watu makini hafai hata ujumbe wa mtaa
Mimi niliwaona ni watanzania tu wa kawaida wanakunywa tangawizi yao. Sikuona chembe za ukichaa wao. Itabidi nirudi kujibu swali japokuwa hakuna hata mmoja aliyenisaidia kupata jawabuusirudi hao saba ni vichaa