ugwenousangi
Member
- Sep 11, 2012
- 98
- 29
Hawa wazee wameongoza miaka yote hii na wamejisahau wakafanya uongozi kama ni sehemu ya kufanya kitu chochote wanachojisikia kufanya bila kupata madhara yoyote yale. Unless tupate mtu atakayeweza kufanya tofauti, hawa watatoana macho kwenye hayo makundi yao.
Mwanakijiji leo kaja na nyingine kumuunga mkono Membe
sasa hata hatujui yupi ni yupi
mimi nasubiri Pasco atajibu vipi