Lowassa, Membe and Sitta: Unfit to Lead, Unprepared to Command

Labda niongeze kitu ambacho mm hajakisema, hata kama kungekuwa na Mgombea mzuri ndani ya CCM, hakuna mtanzania anayeweza kumwamini mgombea yo yote kutoka ccm tena, labda wachakachue tena, japo naona milango ya uchakachuaji ikijijfunga baada ya katiba mpya. Nina uhakika na hilo.

Mkuu Aweda;
Katiba mpya itakuwa tayari 2016, kwani katiba inawazuia kitu gani? Si mmekuwa mkishiriki chaguzi zote kwa kutumia katiba iliyopo msitafute visingizio, Mtikila aliawaambia maneno haya katiba zaidi ya miaka 15 iliyopita mulimuona chizi kwa sababu ya uchu wa pesa za ruzuku; mkuu katiba ipo poa tu wala hatuna haraka sana lazima tuijadili kwa kituo ili tupate katiba muafaka ili baadaye msije mkatutia gharama za kuunda tume nyingine. Vipi mkuu M4C sikukuona kwenye mnuso au ulikuwa Kateshi na Zitto kuimarisha uhai wa chama?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
I feel sorry for you Ndugu Chama,looks like haya mambo na ushabiki wa vyama vya siasa has been eating your brain to the point that you can't think properly,hivi chadema hakijasajiliwa kwa sheria za jamhuri ya muungano wa Tanzania? Is it a foreign political party? Hivi wanachama,wapenzi na mashabiki wa Chadema ni Wamalawi,Waganda,wacomoro au Waghana?

Huna haja ya kuwa sorry na mimi nipo poa tu ila hawa waandishi uchwara lazima tuwaeleze ukweli; upeo wako bado mdogo huwezi kuelewa ila yeye mwanakijji anajua naongea kitu gani, hapa siongei ushabiki wa kichama tuanongea ukweli si lazima tukubaliane bali ukweli utabaki kama ulivyo.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Kaka,


Kwa kumalizia tu, tunapaswa kujiuliza, kwani watanzania ni raia wenye kufaa hadi wapate mgombea urais anayefaa? Kiongozi wa Tanzania atatokana na sampling frame iliyopo, kama Mbowe, Slaa, Lowassa, Membe na Sitta ndio waliopo kutokana na sampling frame yetu basi ndio wanaofaa ukilinganisha na makapi mengine ambayo tunayo. Wananchi irresponsible hawawezi kupata kiongozi responsible kupitia ballot box labda kupitia undemocratic means!

Na hiyo ndio point kubwa kuliko zote, kila mtu analalamikia kiongozi, huyu mara CCM ndio wametufikisha hapa bila kutambua kwamba CCM ni watz na viongozi wa CCM ndio reflection yetu sisi, Lowasa, Kikwete & Co. hawana tofauti yoyote kwa kitabia kwa jinsi walivyolelewa na mtz yoyote wa kawaida vivyo hivyo wapinzani, na mimi maoni yangu huwa ni kwamba hata tuchukue Katiba ya nchi gani sijui New Zealand bado baada ya miaka 50 tutarudi hapa labda kitachobadilika wazungu watakuwa wameleta mfumo mwingine wa kulalamika badala ya JF na kuanza kulalamika tena!

Mfano mzuri Zambia angalia walishangilia humu raisi Sata alikuja na ahadi kibao mwisho wa siku wananchi wa Zambia wameshaanza kumgwaya, wachina bado wanaloot shaba yao, wafanyakazi bado wananyonywa na sababu ni kwamba walifikiri kama sisi kwamba tatizo letu ni chama au fulani au mtu bila kujua kwamba wao wenyewe ndio tatizo na utamaduni wao!

Mwiso utamaduni wetu hauwezi kutoa kiongozi tunaeyemuota labda asiwe kazaliwa, kulelewa na kukulia hapa kwetu!

 
Honestly speaking, but napata shida sana ku-grasp kwa namna yoyote ile kuwa Lowassa, Sitta, Membe mmoja wao kuwa Rais wa nchi hii. Sijui kama ni mapungufu yangu ya kutafakari au ni obvious ukweli kuwa non of them can and is capable of presidency! ni mawazo yangu tu
 
Mwanakijji,

You can't see nothing because of self inflicted blindness other than that we have good and clean members who can run this country with honor; your negativity will not achieve anything, don`t think that you can fool Tanzanians just because you can sit down and write such a dumb article, we are more cleaver than that Mwanakijiji; we know that you are working not for Tanzanians interests but for some corrupted machine within Chadema; your are too cheap man; you put yourself down this low just because you want to impress another man? How much they paid you? Shame on you; Remember I asked you if it was ethical for Mbowe to do business with Chadema while he is a chairman? Remember I asked you if it ethical for Mbowe to use backdoor to secure tender to supply Chadema equipments worth tshs 350 mil. What was your answer for those questions? where did you get the courage to write such a stupid article? Look deeply on the other side you see will the truth; you know what I am talking about! Man up!!!!!!!!!!


Chama
Gongo la mboto DSM

Umeshikwa pabaya nini mbona umeandika kwa lugha kali na umeonyesha una chuki binafsi na MMM,
kama unaona ameandika you said stupid article you write such an intelligent article, twende kwa hoja.
anyway hayo maswali muulize Mnyika, MMM hana title yoyote CDM
 
Honestly speaking, but napata shida sana ku-grasp kwa namna yoyote ile kuwa Lowassa, Sitta, Membe mmoja wao kuwa Rais wa nchi hii. Sijui kama ni mapungufu yangu ya kutafakari au ni obvious ukweli kuwa non of them can and is capable of presidency! ni mawazo yangu tu

Liwalo na Liwe huwa anapenda sana kutumia hayo maneno... pole sana kwa udhaifu huo
 
Umeshikwa pabaya nini mbona umeandika kwa lugha kali na umeonyesha una chuki binafsi na MMM,
kama unaona ameandika you said stupid article you write such an intelligent article, twende kwa hoja.
anyway hayo maswali muulize Mnyika, MMM hana title yoyote CDM

Hiyo lugha ni nyepesi tu; majibu anayo ninachokataa ni double standards mwanakijiji anajua ninachokisema; hawezi kunishika pabaya namueleza ukweli.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
[PHP]Kwa kumalizia tu, tunapaswa kujiuliza, kwani watanzania ni raia wenye kufaa hadi wapate mgombea urais anayefaa? Kiongozi wa Tanzania atatokana na sampling frame iliyopo, kama Mbowe, Slaa, Lowassa, Membe na Sitta ndio waliopo kutokana na sampling frame yetu basi ndio wanaofaa ukilinganisha na makapi mengine ambayo tunayo.

Wananchi irresponsible hawawezi kupata kiongozi responsible kupitia ballot box labda kupitia undemocratic means![/PHP]

Ndugu yangu Sheba nimeiangalia meseji yako,na ningependa kukueleza kuwa watanzania tunafaa sana natunahitaji kupata raisi anayefaa kutuongoza.

Labda kama mwenzangu ni raia wa kigeni ndio maana ukawa na nguvu za kusema hayo.Lakini kwa Mtanzania halisi na mwenye uchungu na Tanzania yake basi atakuwa anahitaji Raisi Bora, Makini na anayefaa na siyo bora rais!
 
What other alternatives are out there?!! Ccm has failed we all know that but i dont see any other party apart frm ccm whos ready to take power and form a government.. Is cdm the only alternative theres out there?!! So in other ways get rid of ccm and be ready to be governed by halima mdee zitto and mnyika right??!!
 
Mwanakijji,

You can't see nothing because of self inflicted blindness other than that we have good and clean members who can run this country with honor; your negativity will not achieve anything, don`t think that you can fool Tanzanians just because you can sit down and write such a dumb article, we are more cleaver than that Mwanakijiji; we know that you are working not for Tanzanians interests but for some corrupted machine within Chadema; your are too cheap man; you put yourself down this low just because you want to impress another man? How much they paid you? Shame on you; Remember I asked you if it was ethical for Mbowe to do business with Chadema while he is a chairman? Remember I asked you if it ethical for Mbowe to use backdoor to secure tender to supply Chadema equipments worth tshs 350 mil. What was your answer for those questions? where did you get the courage to write such a stupid article? Look deeply on the other side you will see the truth; you know what I am talking about! Man up!!!!!!!!!!

Chama
Gongo la mboto DSM

A stupid man will show himself through his statements!
 
......our nation is looking for a new breed of leadership. A leadership that can and will inspire tanzanians - young and old, men and women, educated and uneducated; of all creeds, of all colors and of all political persuasions - to look within themselves and find greatness that remains unchallenged, untapped and unleashed. ......By. M. M.
Wazungu say jump, you ask them how high!
 
nijuavyo mimi kiongozi ni mfano wa jamii anayoiongoza, kama jamii ni ya watu wajinga na wasiojiweza iweje leo kiongozi wao awe mwelevu na anaejiweza? Huo utakuwa mtiririko wa tasnia za uigizaji katika uongozi. Watanzania tutegemee kiongozi wa aina yetu. Sasa swali ni kwamba sisg ni wa aina gani?
 
Baada ya Kuwjaadili Lowassa, Membe na Sitta, tuje na upade wa Chadema, Slaa, Mbowe na Zitto nani anafaa kuwaongoza Watanzania.
 
nijuavyo mimi kiongozi ni mfano wa jamii anayoiongoza, kama jamii ni ya watu wajinga na wasiojiweza iweje leo kiongozi wao awe mwelevu na anaejiweza? Huo utakuwa mtiririko wa tasnia za uigizaji katika uongozi. Watanzania tutegemee kiongozi wa aina yetu. Sasa swali ni kwamba sisg ni wa aina gani?

Umeuliza swali la msingi sana. Sisi ni nani? Na tunastahili nini?
 
Sorry Labda Macho Yangu au Kiingereza Kigumu!! Kwani Membe naye Yumo? Kwani ameshalala na kuota na Kuoteshwa kwenye Ndoto? Mbona nasikia ndoto ilikaribia ila Mkewe akamshtua na Hadi sasa ni lawama Kibao kwa Mkewe!!
 
Well said MMM,it is the time of CHADEMA now. Jamani wana JF let's go for the new people, new political party new changes!
Ole wetu tukiirudisha ccm, tutaangamia.
 
Mwanakijji,

You can't see nothing because of self inflicted blindness other than that we have good and clean members who can run this country with honor; your negativity will not achieve anything, don`t think that you can fool Tanzanians just because you can sit down and write such a dumb article, we are more cleaver than that Mwanakijiji; we know that you are working not for Tanzanians interests but for some corrupted machine within Chadema; your are too cheap man; you put yourself down this low just because you want to impress another man? How much they paid you? Shame on you; Remember I asked you if it was ethical for Mbowe to do business with Chadema while he is a chairman? Remember I asked you if it ethical for Mbowe to use backdoor to secure tender to supply Chadema equipments worth tshs 350 mil. What was your answer for those questions? where did you get the courage to write such a stupid article? Look deeply on the other side you will see the truth; you know what I am talking about! Man up!!!!!!!!!!

Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu chama,
Well said good analysis...
 
Last edited by a moderator:
Kaka,

Napata shida moja. Unasema hawa watatu hawafai. Ninavyofahamu mimi kwanza hawa watatu hawajasema watagombea, wanahisiwa tu. Aidha huendi mbele kutaja basi nani anafaa hata huko nje ya CCM. Mie kwa maoni yangu, suala zima la kugombea urais ni premature halafu tumejifunga sana kwenye majina machache ndani na nje ya ccm. Inawezekana baadhi ya majina ya ccm yasifae, lakini majina yanayotajwa chadema yaani mbowe na slaa pia hawafai. Kwa maneno mepesi, kwa kufuata hoja yako tunaweza kusema kuwa hatuna wagombea 2015. Naamini kusema huyu anafaa na huyu hafai ni kujipofusha. Tunaweza tu kusema huyu anafaana huyu hafai pale tutakapowapambanisha na wengine. Hadi sasa hatujampambanisha yoyote kuhusu urais tunachoongelea ni hisia tu na mapenzi yetu binafsi juu ya historia zao na nafasi zao walizonazo sasa. Tutamjua mgombea anayefaa atakapopambanishwa na wengine ndani ya chama chake kwenye primaries ambako wote wanaojihisi wanafaa watachukua fomu kuomba kuchaguliwa.

Kwa uelewa wangu mfupi, hadi sasa hakuna chama chochote ambacho kimeshafanya mkutano mkuu, CCM ni mwaka huu na CHADEMA nadhani ni mwaka huu au mwakani. Mikutano hiyo na safu mpya za uongozi zitakazotokana na mikutano hiyo ndio itatupa viashiria vya aina ya wagimbea watakaojitokeza na wenye uwezekano wa kupitishwa na vyama. Mathalan, baada ya mkutano mkuu, taswira ya NEC na CC ya CCM ikabadilika na kuingia watu wa mlengo wa Lowassa au Membe au Sitta tunaweza kubashiri ni aina gani ya mgombea atasimamishwa na CCM, maana mgombea hajisimamishi mwenyewe bali anasimamishwa na vikao vya chama. Vivyo hivyo, Baraza Kuu na Kamati Kuu ya CHADEMA nayo ikabadilika wakaingia watu wa maeneo mengine wenye kupinga ukristo na ukaskazini tunaweza kubashiri ni aina gani ya wagombea wenye uwezekano wa kupitishwa na kushinda.

Kwa kumalizia tu, tunapaswa kujiuliza, kwani watanzania ni raia wenye kufaa hadi wapate mgombea urais anayefaa? Kiongozi wa Tanzania atatokana na sampling frame iliyopo, kama Mbowe, Slaa, Lowassa, Membe na Sitta ndio waliopo kutokana na sampling frame yetu basi ndio wanaofaa ukilinganisha na makapi mengine ambayo tunayo. Wananchi irresponsible hawawezi kupata kiongozi responsible kupitia ballot box labda kupitia undemocratic means!

Watanzania tumewekwa kwenye kundi la "immature people",kamwe haiwezekani kupata kiongozi ambaye wengi wetu tunatarajia kumpata kwa kizazi hiki,tumelelewa immature na tumeandaliwa immature,kama tunashindwa competition na jirani zetu wakenya (mfano hai) kwenye mature things basi kamwe hatuwezi kujenga serikali mature,kama kikwete ni immature natural basi hakuna kiongozi tunayeweza kumweka mbele yetu ambaye atakuwa mature,tumejengwa kwenye misingi mibovu inayoyumba sana,tungekuwa na misingi mizuri kamwe ccm wasingetuchezea kama wanavyofanya,itachukuwa muda mrefu sana kufika hapo amabapo tunatarajia,
 
A stupid man will show himself through his statements!

Mods please !when I engage with molemo leave my posts so he can understand what I mean, I know for sure (mods) are favoring the other side of town but be fair this is open forum which you guys has dare to talk openly, openly doesn't only mean to talk negatively about CCM but all corrupted politicians including those from the other side of town. Lets play fair game; do what you preach otherwise we will not differentiates your actions with those of cowards!
molemo
andika kiswahili fasaha napenda sana kujadiliana na wewe kwenye lugha ambayo wote wawili tutakuwa tunaelewna ili tujue ni nani mpumbavu kati yangu mimi na wewe , ujumbe wa jana nina uhakika uliiupata kama hukuupata nitaku PM


Chama
Gongo la mboto DSM
 
A stupid man will show himself through his statements!

soma kwa makini ili tupimane upumbavu!

Molemo,
narudia tenda kuandika naona mods wanakusaidia kuondoa posti pale ninaposema ukweli hili bado halijawa jukwaa huru
Nashukuru sana kama umnisamehe kwa dhati ila sihitaji maombi ila sitachoka kukushauri, tafuta shughuli ya kueleweka kina Lema wanaishabikia sana M4C kwasbabu ndipo wanapoponea, Lema hakuwa mpumbavu kwenda UK kufungua tawi la wanachama 20 humo ndipo wanapoponea na kufanya ulaji, hivi inakuingia akilini mtu mzima na akili zake apoteze muda kwenda UK kufungua tawi la wanachama wasiozidi 20? Nina uhakika hakujitolea ni ulaji mtupu leo hii umwambie Lema aende Njombe kufungua tawi la wanachama 20 hatakwenda, au unafikiri Chris Lukosi ameingia Chadema kwa sababu ya mapenzi? Ni ulaji tu anaousubiri, siku hayo magari yatakaponunuliwa yeye atahusishwa panga watapiga kama kawaida ya watanzania na tenda ya kusafirisha magari atapewa hapo ulaji mwingine watalipa 100 lakini watadai 500, Dr. Slaa kajikopesha mil.140 huo si mkopo wamechukua Dr. Slaa anafahamu taasisi za fedha zipo wapi kama angekuwa mkopaji, Chadema sio saccos hakuna atakachorudisha na wewe jitahidi angalau wakuchotee mil.10 upate shughuli ya kueleweka, usiishie kutoa povu ndani ya JF huna unachonufaika nacho, Tanzania tulishapata uhuru watu wanapigania nafsi zao, si Mbowe wala Dr. Slaa anayepigania wanyonge. Mimi nakueleza ukweli ukiachilia mbali unazi wa JF huo ndio ukweli. Si unawaona wenzako kina jasusi ni wanachadema lakini hawatoki povu, Chadema ishinde au ishinde yeye katulia US, tuliza akili umri unakwenda utajikuta huna kitu na pakwenda huna.

MODS ACHENI UNAZI HUU NI UJUMBE KWA RAFIKI YANGU MOLEMO MNAPENDA SANA KUCHOMOA POSTI HILI JUKWAA BADO SIO HURU LAKINI UJUMBE UMEFIKA


Chama
Gongo la mboto DSM
 
Back
Top Bottom