Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Guys lets think outside this box we're all in,suala si kupata kiongozi(Rais) toka CCM but the point is the next president of this republic ni lazima atoke nje ya mfumo wa sasa,nje ya CCM kama tunaitakia mema nchi hii na watu wake,na hili lazima lifanywe na wananchi wenyewe na sikukaa na kulalamika bila kuchukua hatua.
This is what we are going to do.