daniel_mollel
Member
- Sep 30, 2011
- 66
- 13
Kuna jamaa hapo juu kasema yeye anawakubali katholic sababu hawaaliki mafisadi. Labda waliridhika kuwa EL siyo fisadi ndo maana walimwalika Mwanza akachangisha "200m."
Kwa nini kila Lowassa akialikwa makasani Jamii inatahadharishwa???ikiwa Lowasa ni fisadi(mwenye dhambi) je wewe ni mtakatifu? binafsi sioni ubaya Lowasa kuitwa kwenye harambee ya kuchangia kanisa kwasababu (1)yeye ni muumini wa kanisa hilo(KKKT) na kama anachangia harambee za ujenzi wa misikiti mahekaku nk ni kwasababu yeye ni sehemu ya jamii ya watanzania ambapo kuna watu wenye dini mbalimbali na wasio na dini (2)wenye afya hawahitaji tabibu bali walio wagonjwa
And here is thus why i love and am devoted to CATHOLIC church there z no such upumbavu ya kuwanyenyekea mafisadi.