LOWASSA karibu CHADEMA!

DxR

Member
Jun 5, 2015
71
39
Nimeamua kufungua moyo kwa kukaribisha Mh. EDWARD NGOYAI LOWASSA Chadema!

Lowassa si fisadi kama anavyozungumziwa.

KAMA KUNA MTU ANA USHAHIDI KUHUSU UFISADI WA LOWASSA, AUTOE!

Ripoti ilimtaja Lowassa katika kashfa ya Richmond, lakini cha ajabu hiki hiki Chama Cha Mapinduzi kilichoshika dola, mpaka leo kimeshindwa kumpeleka mahakamani.

UCHAFU WAKE UPO WAPI?

Kama sababu ni kutoka CCM, tuambiane ni Chama gani cha Upinzani mpaka sasa hakina mwanachama aliyetoka CCM?

CUF wapo viongozi akiwemo Katibu Mkuu.
ACT-WAZALENDO Mwenyekiti na wanachama wengine.
NCCR-MAGEUZI wapo vilevile.

Kwanini kuwe na shaka kwa Lowassa kuhamia CHADEMA?
 
Nimeamua kufungua moyo kwa kukaribisha Mh. EDWARD NGOYAI LOWASSA Chadema!

Lowassa si fisadi kama anavyozungumziwa.

KAMA KUNA MTU ANA USHAHIDI KUHUSU UFISADI WA LOWASSA, AUTOE!

Ripoti ilimtaja Lowassa katika kashfa ya Richmond, lakini cha ajabu hiki hiki Chama Cha Mapinduzi kilichoshika dola, mpaka leo kimeshindwa kumpeleka mahakamani.

UCHAFU WAKE UPO WAPI?

Kama sababu ni kutoka CCM, tuambiane ni Chama gani cha Upinzani mpaka sasa hakina mwanachama aliyetoka CCM?

CUF wapo viongozi akiwemo Katibu Mkuu.
ACT-WAZALENDO Mwenyekiti na wanachama wengine.
NCCR-MAGEUZI wapo vilevile.

Kwanini kuwe na shaka kwa Lowassa kuhamia CHADEMA?


naona ccm ikipuputika.
 
Direction is more important than speed. We are so busy looking at our speedometers that we forget the milestone.

TAARTIIIBU ILA KWA UHAKIKA!

Makada hakuna anayeshawishi watu kwenda CDM ni hasira tu na watu ni kama wanalipa kisasi. Makada waacheni wanaotaka kuwa ccm au UKAWA, 4U si chama lakin kina wanachama wa vyama mbalimbali. Mjue pia tunatofautiana kwa maauzi na uwezo wa kutulia kabla ya kufanya jambo. Kuna watuni first oriented kila jambo anataka awe wa kwanza tena wamuone. Ni njema kwake huyo lakini wapo ambao hupiga hesabu saa na kupima upepo ndo waamue, hao pia msiwaone wanachelewa. Kuna wanaoamua lakini kusema wanachelea, hao nao tunso. Nawaomba watu wangu itikaditunazo toka awali lakini mwelekeo wetu hadi sasa ni PUSH EDO INTO MAGOGONI kama anasimama lazima wawepo wa kumsukuma. Hakuna aliyemchafua EDO kama CCM lakini mbona bado yumo humo? Msimamo wa SLAA kwa EDO ulikuwa wa kisiasa na si wa dhati, SLAA hakuwa na kosa siasa zilimtuma na CCM hawana makosa siasa zawatuma, sisi tutende kwa dhati popote tulipo tuonyeshe kuwa OUR HERO IS THE NATIONAL HERO watatujua tu with time watatukubali. You are born a Tanzanian before you are a partisan somewhere do Tanzanian responsibilities responsibly utaona wanaulizana kwani huyu jamaa chama gani? Hapo sasa ndo utasema UKAWA AU CCM! LOVE YOU ALL MA FIGHTERS!
 
Nimeamua kufungua moyo kwa kukaribisha Mh. EDWARD NGOYAI LOWASSA Chadema!

Lowassa si fisadi kama anavyozungumziwa.

KAMA KUNA MTU ANA USHAHIDI KUHUSU UFISADI WA LOWASSA, AUTOE!

Ripoti ilimtaja Lowassa katika kashfa ya Richmond, lakini cha ajabu hiki hiki Chama Cha Mapinduzi kilichoshika dola, mpaka leo kimeshindwa kumpeleka mahakamani.

UCHAFU WAKE UPO WAPI?

Kama sababu ni kutoka CCM, tuambiane ni Chama gani cha Upinzani mpaka sasa hakina mwanachama aliyetoka CCM?

CUF wapo viongozi akiwemo Katibu Mkuu.
ACT-WAZALENDO Mwenyekiti na wanachama wengine.
NCCR-MAGEUZI wapo vilevile.

Kwanini kuwe na shaka kwa Lowassa kuhamia CHADEMA?

Na kama angekuwa unausika na ufisadi wala asingethubutu move ya kuhamia Ukawa.... Serikali wangeshamfungulia kesi kibao..... Kwenda kwake Ukawa ndio kipimo cha usafi wake....
 
CCM itatawala Milele

LOWASSA aje agombee URAIS

LOWASSA atakuja na wafuasi wake akina KARAMAGI, ROSTAM AZIZ, na wengine wengi

Wabunge wengi wa CCM watahamia na LOWASSA na atawateua....

Ndo Amiri Jeshi Mkuu
 
Sijui kitakachotokea ila aje tupate wabunge wengi tutawale bunge tuachane na kina bb kiroboto
 
Direction is more important than speed. We are so busy looking at our speedometers that we forget the milestone.

TAARTIIIBU ILA KWA UHAKIKA!

Makada hakuna anayeshawishi watu kwenda CDM ni hasira tu na watu ni kama wanalipa kisasi. Makada waacheni wanaotaka kuwa ccm au UKAWA, 4U si chama lakin kina wanachama wa vyama mbalimbali. Mjue pia tunatofautiana kwa maauzi na uwezo wa kutulia kabla ya kufanya jambo. Kuna watuni first oriented kila jambo anataka awe wa kwanza tena wamuone. Ni njema kwake huyo lakini wapo ambao hupiga hesabu saa na kupima upepo ndo waamue, hao pia msiwaone wanachelewa. Kuna wanaoamua lakini kusema wanachelea, hao nao tunso. Nawaomba watu wangu itikaditunazo toka awali lakini mwelekeo wetu hadi sasa ni PUSH EDO INTO MAGOGONI kama anasimama lazima wawepo wa kumsukuma. Hakuna aliyemchafua EDO kama CCM lakini mbona bado yumo humo? Msimamo wa SLAA kwa EDO ulikuwa wa kisiasa na si wa dhati, SLAA hakuwa na kosa siasa zilimtuma na CCM hawana makosa siasa zawatuma, sisi tutende kwa dhati popote tulipo tuonyeshe kuwa OUR HERO IS THE NATIONAL HERO watatujua tu with time watatukubali. You are born a Tanzanian before you are a partisan somewhere do Tanzanian responsibilities responsibly utaona wanaulizana kwani huyu jamaa chama gani? Hapo sasa ndo utasema UKAWA AU CCM! LOVE YOU ALL MA FIGHTERS!

Una bia zako mbili jioni pale Toroka uje.
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Direction is more important than speed. We are so busy looking at our speedometers that we forget the milestone.

TAARTIIIBU ILA KWA UHAKIKA!

Makada hakuna anayeshawishi watu kwenda CDM ni hasira tu na watu ni kama wanalipa kisasi. Makada waacheni wanaotaka kuwa ccm au UKAWA, 4U si chama lakin kina wanachama wa vyama mbalimbali. Mjue pia tunatofautiana kwa maauzi na uwezo wa kutulia kabla ya kufanya jambo. Kuna watuni first oriented kila jambo anataka awe wa kwanza tena wamuone. Ni njema kwake huyo lakini wapo ambao hupiga hesabu saa na kupima upepo ndo waamue, hao pia msiwaone wanachelewa. Kuna wanaoamua lakini kusema wanachelea, hao nao tunso. Nawaomba watu wangu itikaditunazo toka awali lakini mwelekeo wetu hadi sasa ni PUSH EDO INTO MAGOGONI kama anasimama lazima wawepo wa kumsukuma. Hakuna aliyemchafua EDO kama CCM lakini mbona bado yumo humo? Msimamo wa SLAA kwa EDO ulikuwa wa kisiasa na si wa dhati, SLAA hakuwa na kosa siasa zilimtuma na CCM hawana makosa siasa zawatuma, sisi tutende kwa dhati popote tulipo tuonyeshe kuwa OUR HERO IS THE NATIONAL HERO watatujua tu with time watatukubali. You are born a Tanzanian before you are a partisan somewhere do Tanzanian responsibilities responsibly utaona wanaulizana kwani huyu jamaa chama gani? Hapo sasa ndo utasema UKAWA AU CCM! LOVE YOU ALL MA FIGHTERS!
Uko sahihi mkuu. Ukombozi ndiyo sasa.
 
Direction is more important than speed. We are so busy looking at our speedometers that we forget the milestone.

TAARTIIIBU ILA KWA UHAKIKA!

Makada hakuna anayeshawishi watu kwenda CDM ni hasira tu na watu ni kama wanalipa kisasi. Makada waacheni wanaotaka kuwa ccm au UKAWA, 4U si chama lakin kina wanachama wa vyama mbalimbali. Mjue pia tunatofautiana kwa maauzi na uwezo wa kutulia kabla ya kufanya jambo. Kuna watuni first oriented kila jambo anataka awe wa kwanza tena wamuone. Ni njema kwake huyo lakini wapo ambao hupiga hesabu saa na kupima upepo ndo waamue, hao pia msiwaone wanachelewa. Kuna wanaoamua lakini kusema wanachelea, hao nao tunso. Nawaomba watu wangu itikaditunazo toka awali lakini mwelekeo wetu hadi sasa ni PUSH EDO INTO MAGOGONI kama anasimama lazima wawepo wa kumsukuma. Hakuna aliyemchafua EDO kama CCM lakini mbona bado yumo humo? Msimamo wa SLAA kwa EDO ulikuwa wa kisiasa na si wa dhati, SLAA hakuwa na kosa siasa zilimtuma na CCM hawana makosa siasa zawatuma, sisi tutende kwa dhati popote tulipo tuonyeshe kuwa OUR HERO IS THE NATIONAL HERO watatujua tu with time watatukubali. You are born a Tanzanian before you are a partisan somewhere do Tanzanian responsibilities responsibly utaona wanaulizana kwani huyu jamaa chama gani? Hapo sasa ndo utasema UKAWA AU CCM! LOVE YOU ALL MA FIGHTERS!
This is the post of the century, be blessed!!!!
 
Nimeamua kufungua moyo kwa kukaribisha Mh. EDWARD NGOYAI LOWASSA Chadema!

Lowassa si fisadi kama anavyozungumziwa.

KAMA KUNA MTU ANA USHAHIDI KUHUSU UFISADI WA LOWASSA, AUTOE!

Ripoti ilimtaja Lowassa katika kashfa ya Richmond, lakini cha ajabu hiki hiki Chama Cha Mapinduzi kilichoshika dola, mpaka leo kimeshindwa kumpeleka mahakamani.

UCHAFU WAKE UPO WAPI?

Kama sababu ni kutoka CCM, tuambiane ni Chama gani cha Upinzani mpaka sasa hakina mwanachama aliyetoka CCM?

CUF wapo viongozi akiwemo Katibu Mkuu.
ACT-WAZALENDO Mwenyekiti na wanachama wengine.
NCCR-MAGEUZI wapo vilevile.

Kwanini kuwe na shaka kwa Lowassa kuhamia CHADEMA?

Ama kweli nyani hafichi ku.....e
leo hii Lowasa kawa mtamu kwa cdm? Hahahahaha
 
Back
Top Bottom