Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #41
Lowassa asingeweza kujitetea siku ripoti ilipotoka. He was not read for that. He was caught by surprise! Ndio maana alitumia kijisababu cha natural justice at the same time baada ya siku chache akaanza kuzunguka huku na huko kujitetea (Mnakumbuka alivyopokelewa jimboni kwake alipokwenda kujitetea? Mnakumbuka pia interview yake TBC?)
angeweza kama angetaka ndugu yangu. Sheria za Bunge zinampa Waziri Mkuu nafasi ya kwanza ya kuzungumza Bungeni. Kama asingehamaki angewezakutoa hoja ya kuomba bunge liahirishwe japo kwa siku moja ili yeye na serikali yake waandae majibu yao. Hakutaka kufanya hivyo. Alizira. alisema "Wanautaka Uwaziri Mkuu".. !