Lowassa Azidi kusonga mbele!

is bitten,by taking wrong truck,has bad wish to our nation focing 2be forgiven and cleansed by using RED,DIRTY ,CORRUPTED MONEY,at least if he could help widows,clippled,oldest people and those unable 4 its there stolen taxes,insteed of helping churches especialy kkkt,he is creating reliogious segregation.
 
is bitten,by taking wrong truck,has bad wish to our nation focing 2be forgiven and cleansed by using RED,DIRTY ,CORRUPTED MONEY,at least if he could help widows,clippled,oldest people and those unable 4 its there stolen taxes,insteed of helping churches especialy kkkt,he is creating reliogious segregation.
Huna facts! Je JK kuwapa waislam wizara zote muhimu ktk nchi nalo unalionaje?
 
Cha mlevi huliwa na mgema,waache watu wa makanisa angalau wale hela ya jasho lao,mialiko haitaisha mpaka hela yetu iishe ,nawapa pole wenzangu waislamu hiyo hela ya bure mbona hawaichangamukii,jamani waislamu tumieni fursa ya hizo harambee kama wakristo wanavyoiutumia msiogope hiyo ni hela yetu sote,jamaa kaishika tu.Hata mie naanzisha kakanisa kangu halafu nitamualika mjiuzuru kwenye harambee heh hehehhhhhhh
 
Wakati serikali ya J.K ipo bize kujibu hoja za Madaktari zitokanazo na Mgomo wa madaktari ambazo zinaonekana kukosa suruhisho kutoka pande zote. Mh. Lowassa anazidi kusonga mbele na kujijenga kisiasa zaid na zaid na kuimarisha mbio zake za Ikulu 2015, Jana kaongoza harambee iliyoipatia Kanisa sh. 204 milions zaidi ya 114 milion iliyokadiliwa awali. KWELI HUYU BABA ANAROHO NGUMU!

fanya uchunguzi hiyo fedha anachukuwa kwa akina jittu patel na wahindi wengine wanaoamini kuwa jamaa atakuwa rais 2015,tatizo watanzania wengi hawafahamu hizi harambe zinavyoendeshwa mgeni rasmi anaingia akijua fika kwamba jittu atachangia ngapi,manji ngapi na rostamu ngapi ndiyo unafikia lengo na makanisa yanafahamu watamwalika sana na yatajengwa,jamaa kuna harambe moja miaka sita iliyopita aliingia ukumbina hakukuwa na watu alichofanya aliomba chumba katika nusu saa baada ya kuwapigia wahindi kumi tu akatangaza harambe imevuka lengo kwa kukusanya milioni mia tatu
 
Wakati serikali ya J.K ipo bize kujibu hoja za Madaktari zitokanazo na Mgomo wa madaktari ambazo zinaonekana kukosa suruhisho kutoka pande zote. Mh. Lowassa anazidi kusonga mbele na kujijenga kisiasa zaid na zaid na kuimarisha mbio zake za Ikulu 2015, Jana kaongoza harambee iliyoipatia Kanisa sh. 204 milions zaidi ya 114 milion iliyokadiliwa awali. KWELI HUYU BABA ANAROHO NGUMU!

Atakosaje kuwa na roho ngumu na yeye jambazi!!
 
Cha mlevi huliwa na mgema,waache watu wa makanisa angalau wale hela ya jasho lao,mialiko haitaisha mpaka hela yetu iishe ,nawapa pole wenzangu waislamu hiyo hela ya bure mbona hawaichangamukii,jamani waislamu tumieni fursa ya hizo harambee kama wakristo wanavyoiutumia msiogope hiyo ni hela yetu sote,jamaa kaishika tu.Hata mie naanzisha kakanisa kangu halafu nitamualika mjiuzuru kwenye harambee heh hehehhhhhhh
Kwa kuwa wewe ni idiot sina haja ya kukuelezea zaidi!
 
Mimi naona anajijenga kidini si kisiasa!!kwani 2015 kanisa ndiyo litatoa rais??huu upendo wa ghafla kwenye makanisa umetoka wapi??kama ameokoka kwanini asitangaze rasmi??ni wokovu gani huu wa kutoa pesa tu??akae akijua kuwa atacheza na makanisa lakini kamwe hawezi kucheza na mungu dhamira yake itakuwa wazi mbele za mungu.

Kweli umenena mkuu! Kwa sifa na utukufu alionao Mwenyezi Mungu, kwa heshima tunaandika 'Mungu', siyo mungu; au Mola siyo mola.
 
Kwani bila lowassa, hakuna mwngine anayeweza kuwa rais? every time lowassa, lowassa, lowassa,...... bull shit! Ihate it!
 
Watu wameamka wanamwangilia na kumshangilia ili watekeleze mahitaji yao ila kwenye sanduku la Kura amini lazima apigwe chini
 
Wakati serikali ya J.K ipo bize kujibu hoja za Madaktari zitokanazo na Mgomo wa madaktari ambazo zinaonekana kukosa suruhisho kutoka pande zote. Mh. Lowassa anazidi kusonga mbele na kujijenga kisiasa zaid na zaid na kuimarisha mbio zake za Ikulu 2015, Jana kaongoza harambee iliyoipatia Kanisa sh. 204 milions zaidi ya 114 milion iliyokadiliwa awali. KWELI HUYU BABA ANAROHO NGUMU!

weka wazi yeye kama yeye katoa kiasi gani..?kwani vyanzo vingine vinaonyesha kuna Wafanyabiashara Wawili wametoa zaidi yake kufikisha jumla ya makusanyo Taslim.Kuitwa kwake kufanikisha zoezi kunaonyesha Wazi kwamba WIZI/MAFISADI ni wengi ikiwapo waliomsindikiza,japo KIDINI sadaka yeyote haikataliwi,uue,uibe sawa.
 
Kwa kuwa wewe ni idiot sina haja ya kukuelezea zaidi!
Naona mkuu uko nao bize, ng'adu kwa ng'adu, wakibandika wewe umebandua ! Vp kandarasi yako inaisha 2015 ? ................daaah ! Wamekuambia hamna kutoka JF ! Ukienda chooni unampa mtu akushikiie !
 
huyu jamaa mwenye nywele nyeupe ni wa kumpiga risasi kwa stile ya gaddafi hapana haja ya kupelekwa mahakamani hata the hague
 
Wakati serikali ya J.K ipo bize kujibu hoja za Madaktari zitokanazo na Mgomo wa madaktari ambazo zinaonekana kukosa suruhisho kutoka pande zote. Mh. Lowassa anazidi kusonga mbele na kujijenga kisiasa zaid na zaid na kuimarisha mbio zake za Ikulu 2015, Jana kaongoza harambee iliyoipatia Kanisa sh. 204 milions zaidi ya 114 milion iliyokadiliwa awali. KWELI HUYU BABA ANAROHO NGUMU!
hiyo cyo roho ngumu. ni roho mbaya.
 
IDIOT wewe mimi..?au hujui maana ya Great Thinker..?Nawekuwa Idiot kwako lakini sio kwawote.Ila wewe ni DULL
Naona mkuu uko nao bize, ng'adu kwa ng'adu, wakibandika wewe umebandua ! Vp kandarasi yako inaisha 2015 ? ................daaah ! Wamekuambia hamna kutoka JF ! Ukienda chooni unampa mtu akushikiie !
 
Kama kaulimbiu yao isemavyo "amejaribu kanisani, ameweza, na anazidi kusonga mbele" kazi kwenu waumini kumpa kura za uasikofu 2015, kila la kheri EL
 
Jamani mimi mwenzenu ni mbumbumbu katika hili na ninaomba kuelimishwa. Hivi uchaguzi huo wa 2015 ni wa kumchagua askofu au rais. Na kama ni uchaguzi wa urais, kuna sheria iliyopitishwa kwamba wapiga kura watakuwa ni wa dhehebu moja tu? Hivi kuchangisha makanisani na kuwaacha wahitaji wakubwa wa misaada kama wale waathirika wa mafuriko kutatoa mafanikio gani ya kisiasa. Kama ni utakaso wa fedha haramu basi utakaso bila toba ni bure! Haya msioitakia mema nchi yetu endeleeni kushangilia lakini kwa wenye akili zao wanajua kwamba this is a wasted effort!

Labda anamaanisha kusonga mbele kukielekea kifo maana afya yake inao mgogoro mkubwa sana kuliko ule wa pallestina na Israel kama unabisha ukisikia harambee nyingine mtafute then peana nae mkono ndio utajua kumbe dawa ya moto ni maji wala sio moto.
 
Back
Top Bottom