Nzenzu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 858
- 164
Wakati serikali ya J.K ipo bize kujibu hoja za Madaktari zitokanazo na Mgomo wa madaktari ambazo zinaonekana kukosa suruhisho kutoka pande zote. Mh. Lowassa anazidi kusonga mbele na kujijenga kisiasa zaid na zaid na kuimarisha mbio zake za Ikulu 2015, Jana kaongoza harambee iliyoipatia Kanisa sh. 204 milions zaidi ya 114 milion iliyokadiliwa awali. KWELI HUYU BABA ANAROHO NGUMU!