Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,769
- 20,010
....Asante mpenzi napiga ndovu mbili
.....pamoja sanaaaaaaaaaa !!!!
....Asante mpenzi napiga ndovu mbili
Yote sawa,unaweza kuchagua mojawapo ukipenda!Naomba ufafanuzi, ni waziri mkuu MSTAAFU au waziri mkuu aliyejiuzulu?? Samahani kwa swali langu
Ni vyema ukaanza kuuliza, mafao yake Kama PM mstaafu analipwa?Naomba ufafanuzi, ni waziri mkuu MSTAAFU au waziri mkuu aliyejiuzulu?? Samahani kwa swali langu
Na mbaya zaidi, bado wanazidi kujipa matumaini katika mazingira yale yale! Eti ''ni mwanzo wa uchaguzi mwingine''. Hawajiulizi iwapo uchaguzi wa meya wa Kinondoni au Zanzibar wenye wapiga kura wanaoeleweka na ambao upo simple and clear kabisa katika kudhibiti wizi unawashinda kudhibiti itakuwaje uchaguzi complex unaohusisha nchi nzima!Hivi kweli watu mlitegemea Lowassa ashinde mbele ya tume ya uchaguzi iliyoundwa na mwenyekiti wa CCM?
Huo ni umajinuni.
MWINYI: nchi inaendeshwa kama gari bovuJK ametulisha kasa na yeye sasa analionja joto la jiwe na anaisoma namba! Turudi ubaoni kuandaa Marais wetu kwa mfumo unaokubalika hata na system zetu za usalama! Lazima wapikwe waandaliwe wajue mambo ya kidunia....uchumi innovations na uzalendo pia! Tusiwape tu watu wa hovyo hovyo ma vyeo makubwa hasa kuto na mivutano na ajali za siasa.......
Mwendo kasiWANAONA GELE..../ RAIS WETU SONGA MBELE..../ HAKUNA MUDA WA MALUMBANO.../ NI KASI TU.../
Ukitaka kuwamaliza uwaulize vitu kwa hoja wanakimbia sana maana wao nivioja tungoja UVccm mtandaoniwaje utakoma watakuharibia siku yakonzimaa ujute
Miaka 46 ila uko bize asubuhi kuandika habari za lowassa, life begins at 40.Ukitaka kuwamaliza uwaulize vitu kwa hoja wanakimbia sana maana wao nivioja tu
Nichungu lakini meza kwakua ni dawaMiaka 46 ila uko bize asubuhi kuandika habari za lowassa, life begins at 40.