swissme
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 13,662
- 19,880
yote majibu.Naomba ufafanuzi, ni waziri mkuu MSTAAFU au waziri mkuu aliyejiuzulu?? Samahani kwa swali langu
swissme
yote majibu.Naomba ufafanuzi, ni waziri mkuu MSTAAFU au waziri mkuu aliyejiuzulu?? Samahani kwa swali langu
Ukelewe iko wapi mkuu?ukelewe ile kipindi unapanda basi la mkoani hadi mwanza kisha uchukua boti ukifika tu unachana tiketi.
swissme
.....Bado unaishi mioyoni mwetu, mzee wetu!
Mungu akupe maisha marefu zaidi..
Ok mkuu .mwanza sijui ni wilaya sasa.
swissme
....Kwa sasa anayesema lowasa ndiye raisi wake inabidi mtu huyo akapimwe milembe maana hajui kinachoendelea
Wewe pita tu natumaini huna Elimu ya juu na kama unayo ni sawa na maprofesa na doctor wezi wasiojua kutumia taaluma yao na kubaki kuisaliti umma wa watanzania.Kwa sasa anayesema lowasa ndiye raisi wake inabidi mtu huyo akapimwe milembe maana hajui kinachoendelea
Kwa sasa anayesema lowasa ndiye raisi wake inabidi mtu huyo akapimwe milembe maana hajui kinachoendelea
Watanzania wengi ni vichaa watu wanne mmojawapo ana tatizo hilo. UtafitiHistoria hii ni kwa manufaa yako
Tarehe kama ya leo mwaka jana...Watanzania tulifanya mtihani wa hesabu (uchaguzi)...na sasa tunaendelea kuisoma namba....wale wa kanga na pilau za uchaguzi kimyaaa.
....Dady tulikupigia kura wakakudhulumu bado wewe ni raisi wetu Mungu akupe maisha marefu tunakupenda sana
Asante mpenzi napiga ndovu mbili....
.....aisseeh Sister kapate Windhoek tatu baridi kwa bili yangu
Ni waziri mkuu wa zamani.Naomba ufafanuzi, ni waziri mkuu MSTAAFU au waziri mkuu aliyejiuzulu?? Samahani kwa swali langu
Amekuwa "daddy" tayari? Rais wa mioyo ya watu..teh tehDady tulikupigia kura wakakudhulumu bado wewe ni raisi wetu Mungu akupe maisha marefu tunakupenda sana