KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
Alichofanya mchambuzi siyo kibaya hata kidogo, tena ni jambo la kupongezwa! Sisi wabongo hatuna mazoea ya long time benefits, kwa kifupi wengi wetu (kubwa) tunaangalia leo, na kesho hatuangalii miaka 10-20 ijayo.
Mchambuzi hapo nakupa hongera, na itakuwa vizuri kabisa tukajua maovu ya hawa watu ambao ni potential presidential candidates mwaka 2015.
Hao watu wawili kwa mtazamano wangu hawafai kabisa, tena huyo LOWASSA ndio HAFAI, HAFAI, HAFAI, KABISA. Yaani nikisia tu LOWASSA basi kinachonijia akilini mwangu ni RUSHWA, MIGOGORO, VIRTISHO, UDIKTETA, KUJILIMBIKIZIA MALI, RICHMONDI, MAHOTELI YA KISASA, YAAAANI RUSHWA MTINDO MMOJA. Yaani huyu mtu nampinga kishenziiiii.
Mchambuzi hapo nakupa hongera, na itakuwa vizuri kabisa tukajua maovu ya hawa watu ambao ni potential presidential candidates mwaka 2015.
Hao watu wawili kwa mtazamano wangu hawafai kabisa, tena huyo LOWASSA ndio HAFAI, HAFAI, HAFAI, KABISA. Yaani nikisia tu LOWASSA basi kinachonijia akilini mwangu ni RUSHWA, MIGOGORO, VIRTISHO, UDIKTETA, KUJILIMBIKIZIA MALI, RICHMONDI, MAHOTELI YA KISASA, YAAAANI RUSHWA MTINDO MMOJA. Yaani huyu mtu nampinga kishenziiiii.