Mkuu, ndo maana huwa nasema hao jamaa ni very myopic!Kwa nini uansema ''Lowassa for President?'' Kinachofuatia sasa hivi ni uchaguzi wa Uenyekiti wa CCM. Kwa husemi ''Lowassa for CCM Chairman?''
Lowassa naye anazungumza Pumba tupu... Rais ataweza vipi ku create ajira kwa vijana?. Ebu tuambieni hizo ajira kwa vijana unazianzisha vipi maanake muhimu ktk maendeleo ya nchi ni kuunda policies ambazo zinawawezesha wawekezaji kuwekeza zaidi ama kufungua miradi ya maendeleo nchini, nani anapata ajira hizo sii kazi ya rais. Sasa EL atueleze ni policies (sera) zipi zinazolenga kutoa ajira kwa vijana?..Kwanza ndugu yangu Mungongo wewe una elimu gani? kwa maana ni vizuri kujuana viwango vya elimu ili tuongee kwa kiwango chako cha Elimu.
Hoja hapa si nani alifanya nini hapa ni tatizo la vijana kukosa Ajira ni ukweli ulio wazi ambao hata wewe juu ya kuandika pumba hizi huwezi kuukataa, sasa kama EL aifanya lolote ama hakufanya lolote lakini tatizo hilo lipo na anajaribu kuwakumbusha hata wale ambao wanajifanya hawalioni kama wewe na hata yeye EL.
Hoja ya msingi sana hiyo utaisaidia Tanzania zaidi kama utachangia kuwa tatizo hilo lipo na ni kubwa sasa tufanyeje kukabiliana nalo hata kama aliyelisema si NEPI ama MUkwama mbovu, ama yeyote. sasa kama unayo elimu ya kutosha nenda kwenye thread nyingine ili utoe maoni yako yatakayo somwa na watanzania yawasaidie, siyo kupinga kila kitu kwa vile aliyesema siyo Nape.
lowasa 4 president.......yes yes yes yes
Wakati EL akiwa Pm alifanya nini ili kuhakikisha vijana wanapata ajira, ili awe na nguvu ya kuwasema wenzie katika hilo?
Kibanga Msese
Wakati EL akiwa Pm alifanya nini ili kuhakikisha vijana wanapata ajira, ili awe na nguvu ya kuwasema wenzie katika hilo?
Kibanga Msese
sasa naona kwanini lowasa anapingwa na wanaccm mle ndani,lowasa hawezi kukubali mawazo ya mwanakwaya komba au mtu kama lusinde nape na wengine wa aina hiyo.sababu upeo wao wa kufikiri ni mdogo sana,lowasa aliposema ajira kwa vijana wapuuzi ndani ya ccm walimpinga sasa kwa mlango wa nyuma wanaanzisha jkt,wanapigania ajira kwa kutumia bodaboda hili si suluhisho kwani jkt ni kuwaweka pamoja bila future ili ccm iwatumie kuiba kura na kutumia bodaboda kutorosha masanduku ya kura.hivi ma dr wote na maprofesa ndani ya ccm hamuoni huruma kwa future ya vijana wetu kwa mpango huu iwapo ccm ya akina lusinde ikirudi madarakani tutegemee ya congo,mali,misri,algeria kwani hakutakuwa na mwelekeo:frusty:
kama hujui EL aliyoyafanya katika muda mfupi akiwa pm ugonjwa wako nadhani tiba yake ni kifo hakuna dawa itakayokuponya
Kiongozi mzuri atatoka ccm (Nyerere 1995). Hata mimi nakubaliana naye kwani ukitaka kuwa kiongozi mzuri ni lazima utoke kwanza ccm, kwani ukiwa huko bado utawaondea mafisadi aibu.
Kiongozi mzuri atatoka ccm (Nyerere 1995). Hata mimi nakubaliana naye kwani ukitaka kuwa kiongozi mzuri ni lazima utoke kwanza ccm, kwani ukiwa huko bado utawaondea mafisadi aibu.