Lowassa Ngoyai Edward CCM
Questions(0)
Supplementary
Questions (0)
Contributions
(1)
Mkuu kamba yako mbona shallow sana maana hujasema source na hii ni kw
All of the above.
Moreover, he is calculating his next move
Lowassa yupo yupo Bungeni maana ni Mbunge,maana hakuna iliposemwa lazima aulize swali wala kuchangia hoja yoyote.Kilicho issue Lowassa ni Waziri Mkuu Mstaafu na atavuta 80% ya mshahara wa Waziri Mkuu aliyeko madarakani hadi mauti itakapomchukua ama sheria zikibadilika.Hili ni tatizo maana tafsiri ya mstaafu kwa mujibu wa utumishi wa umma na namna Lowassa aliondoka kwenye ofisi ya WM nadhani ni tofauti, na hata mnaposema yeye ni tajiri hatukumsikia akipinga posho za kikao!
Anavuta Mshahara
na posho za vikao.
napata shida kidogo,,,mtu aliwahi kuwa pm,,nadhan niheshima kutulia,anajua system yote,,akiwa na shida ya jimbon waziri mhusika wataongea kwa staha yake atatendewa,,,ataongea mambo ya kitaifa yanayoonekana kusumbua,akionyesha njia,,,hapo heshima anailinda hachuji,Lowassa yupo yupo Bungeni maana ni Mbunge,maana hakuna iliposemwa lazima aulize swali wala kuchangia hoja yoyote.Kilicho issue Lowassa ni Waziri Mkuu Mstaafu na atavuta 80% ya mshahara wa Waziri Mkuu aliyeko madarakani hadi mauti itakapomchukua ama sheria zikibadilika.Hili ni tatizo maana tafsiri ya mstaafu kwa mujibu wa utumishi wa umma na namna Lowassa aliondoka kwenye ofisi ya WM nadhani ni tofauti, na hata mnaposema yeye ni tajiri hatukumsikia akipinga posho za kikao!