Umekosea, hata wewe ukitaka unanunua na kuweka nyumbani kwako.Inaelekea hapo yupo hospitalini; hicho kitanda sio cha nyumbani!!! Au nimekosea jamani?
Nimesogezaje magoli wakati nimekunukuu wewe mwenyewe?Umezoea kusogeza magoli eenh?
Endelea kujitoa ufahamu. Kila kitu kiko wazi kabisa lakini umeamua kuwa mbishi.Nimesogezaje magoli wakati nimekunukuu wewe mwenyewe?
Vita ya Mrema, Mbatia sasa moto - Kitaifa | Gazeti la Kiswahili ...Waziri mkuu mstaafu na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA Mh. Edward Lowassa amemtembelea Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi na Mbunge wa Vunjo Mh. James Mbatia ambae amerejea hivi karibuni akitokea nchini India alipokwenda kufanyiwa upasuaji wa mguu.
View attachment 444292
Mwanahabari Huru
Jenga hoja hapa sibishani. Wewe ulishangaa mtu aliyesema kuwa yupo London kuripoti mambo ya Dar. Mimi nikakwambia kwamba wewe unaishi kizamani kwani kwa teknolojia ilivyo sasa si ajabu mtu kuwa London kuripoti mambo ya Dar!Endelea kujitoa ufahamu. Kila kitu kiko wazi kabisa lakini umeamua kuwa mbishi.
Kuna hoja gani zaidi ya ubishi. Unachosha.Jenga hoja hapa...
Ndiyo maana tunatawaliwa na CCM kwani watu wengi huchoka haraka kujenga hoja lakini wanakesha kwenye mashindano ya singeli yanayotayarishwa na CCM!Kuna hoja gani zaidi ya ubishi. Unachosha.
Sio hivyo; ndio maana mnazungusha mikono na kupiga deki barabara.Ndiyo maana tunatawaliwa na CCM...
Hivi ni nyumbani kwake au hospitalini?Pole Mh Mbatia. Nimeipenda floor ya hio nyumba.
Inaonesha mambo mengi ya dunia hii huyaelewi. Kuzungusha mikono (kwa kufuata mfumo maalum) ni ishara ya kuoensha kunatakiwa kufanyika mabadiliko. Wewe hata Ligi ya mpira wa miguu ikicheza Mbao na JKT Ruvu huwa huangalii? Ukiona bara bara inadekiwa ni Ishara kwamba wanaodeki wanaamini kuna uchafu unaopaswa kuondolewa ili walio safi wapite!!Sio hivyo; ndio maana mnazungusha mikono na kupiga deki barabara.
Ha ha ha.Inaonesha mambo mengi ya dunia hii huyaelewi. Kuzungusha mikono (kwa kufuata mfumo maalum) ni ishara ya kuoensha kunatakiwa kufanyika mabadiliko. Wewe hata Ligi ya mpira wa miguu ikicheza Mbao na JKT Ruvu huwa huangalii? Ukiona bara bara inadekiwa ni Ishara kwamba wanaodeki wanaamini kuna uchafu unaopaswa kuondolewa ili walio safi wapite!!
Nimeipenda sana hii!!Siasa na Afya ni vitu viwili tofauti