Mibas
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,168
- 6,291
Nyumbani kwake.Hivi ni nyumbani kwake au hospitalini?
Nyumbani kwake.Hivi ni nyumbani kwake au hospitalini?
Jikite kwenye mada husika .Mbona muda mwingi huutumia kuhutubia maandamano badala ya kuhamasisha ujenzi wa miundombinu ya afya na kuchangia mfuko wa afya???
Na tena nilisikia yule jamaa mrefu aliyekosa matibabu kwenye hospitali ya Taifa Mhimbili kuna zahanati nchini India nasikia iijitole kumtibuKuna taarifa kwamba wale wote waliosoma o level private hawapewi mkopo kusoma Muhimbili ( kuna uzi humu jf )
Mtanzania ndiye binadamu mnafiki kuliko binadamu wote duniani .......unajua kwann mwaka jana siku kama ya leo sherehe za uhuru zilifutwa si tukaambiwa tusherekee kwa kufanya usafi nchi nzima na mapesa ambayo yangetumika kwenye sherehe hizo yajenge barabara watanzania wakashangilia kweli.....leo tena sherehe Zipo hazijafutwa ili kubana matumizi mtanzania huyu amefurahi na kushangilia .......nilidhani leo zinafutwa then pesa ipelekwe kwa waathirika wa tetemeko kule KAGERA...mwaka jana walishangilia mwaka wameshangilia hawaeleweki wapo upande gani..........MTANZANIA NDIYE BINADAMU MNAFIKI KULIKO BINADAMU WOTE DUNIA siku tukiacha unafiki Tanzania itakombolewa Goliath Mwacharandula Mfalamagoha
Ahsante Mkuu.Nyumbani kwake.