kwa mujibu wa TBC ni shule ya kiislamu ipo kigamboni ila imepewa jina la kikristo yani EDWARD LOWASSA ISLAMIC SCHOOL kweli pesa si mchezo..
Hili la jina naona amekwenda mbali; waisilamu walivyo 'sensitive', Mufti asipoangalia hiyo shule anaweza akasusiwa na waumini wake.