The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
kisa? kachangia msikiti.Mwenyezi mungu amzidishie amuondolee jicho la husda na amlindde na maadui zake.
kisa? kachangia msikiti.Mwenyezi mungu amzidishie amuondolee jicho la husda na amlindde na maadui zake.
There was no need for you to attack me on my opinion, you should have challenged the opinion instead. By the way how much have you contributed towards the development of orphanages (anywhere)? Hate the Man, think of The needy!Your are out of your mind to support this donation, this is a guy who is holding this country in ransome.
Mbunge huyo amemkabidhi Mufti fedha hizo leo akisema amezipata kutoka kwenye michango mbalimbali ya marafiki zake
Big up lowassa
Hivi kabla ya Richmond lowassa hakuwa na hela? ...hata richmond ilikuwa ni hadithi ya kutunga,wale makanda walokataa mitambo isinunuliwe eti ni kukiuka sheria ya manunuzi ya umma,hivi leo symbon walivyonunua hiyo mitambo ni lini sheria ya manunuzi ya umma immerekebishwa kuruhusu kununua mitambo michakavu tena?
Kweli wa tz ni wepesi kuwadanganya
Pole pole mkuu, Symbion haibanwi na sheria ya manunuzi kwani si idara ya serikali wala shirika la umma. Kwamba Lowasa alikuwa na pesa au la kabla ya richmond si la muhimu sana. Issue ni jinsi alivyozipata pesa hizo.
kwa mujibu wa TBC ni shule ya kiislamu ipo kigamboni ila imepewa jina la kikristo yani EDWARD LOWASSA ISLAMIC SCHOOL kweli pesa si mchezo..
Yote tisa, kumi ajivue gamba. Nchi hii iko hivi ilivyo kwa ajili yake. Umeme huoooooooooooooooooooooooooooo kwa ajili yake. Pokeeni lakini mjiulize fedha hizo alizipata wapi wakati alikuwa mwajiliwa wa serikali. Mufti usipokee hela za mashaka au (wizi) !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
usiwe mkali. ila lowasa anachofanya ni kampeni ya uraisShika adabu yako! Nani kakwambia huyu mtu ni Mmasai
Ndg yangu acha Kuota mchana kweupee Shilingi 13M sio fedha za kujiuliza Mtu mwenye Kazi ya Ubunge na Waziri Mkuu Mstaafu amepata wapi?!Yote tisa, kumi ajivue gamba. Nchi hii iko hivi ilivyo kwa ajili yake. Umeme huoooooooooooooooooooooooooooo kwa ajili yake. Pokeeni lakini mjiulize fedha hizo alizipata wapi wakati alikuwa mwajiliwa wa serikali. Mufti usipokee hela za mashaka au (wizi) !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ndg yangu utakuwa Mwongo!Umejuaje hao ndio Marafiki Zake peke!Utakuwa na Hila za Nyoka wa Mdimu!Hao marafiki zake ni Rostam Aziz na Chenge