Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Japokuwa ni mwepesi wa kutoa maamuzi lakini maamuzi yake mengi ni ya kukurupuka. Nakumbuka ni huyu aliyetuletea maamuzi ya kuleta mvua ya mabomu, ikashindikana. juu ya suala la foleni, aliletaga wazo lake la njia tatu, nilipoteza rafiki yangu pale karibu na makumbusho kwa ajali mbaya sana ya gari kutokana na implementation ya njia tatu. alisahau pia kuna wanafunzi walifundishwa na kukariri ya kwamba ukitaka kuvuka bara bara lazma kwanza uangalia kulia, then kushoto, kama hakuna gari wewe vuka. kwenye hili wanafunzi watoto wengi walipata ajali na kupoteza maisha na wengine kuwa vilema.
Mtu anakuwa waziri mkuu anashindwa kuisimaia serikali anayoiongoza.Sera ya shule za kata yeye aliitumia kama mtambo wa kuzalisha failures.Lowassa ana share kubwa katika kiwango hiki kikubwa tulicho nacho cha jobless people