"Ndugu wajumbe hakikisheni watu wanapiga kura masuala ya Nec kutangaza mshindi niachieni mimi". - Lowassa awaambia baraza kuu Chadema
Angalieni mwehu mwingine huyu sijui kaibukia wapi. Wewe ndio unamkosea mungu adabu kwa kumhukumu mtu ambaye huna uhakika na ufisadi unao uongelea juu yake. Humjui mungu na huna imani. Ukiitwa na kuombwa kutoa ushuhuda wa ufisadi unaoongelea hapa utaishia kuzungumzia magazeti na blogs ziliandika Lowassa fisadi. Acheni kuwa waongo na kuamini ujinga ujinga wa mitaani. Mnaacha kuwasema wakina Chenge wenye ushahidi wa kutosha wa billion za fedha mnakuja msema baba wa watu. Fanya kazi mama ulipe kodi fedha zako zije kutumika na CCM kukununua uwapigie kura.Unasikitisha sana umelitaja jin la Mungu krb mara 5 sambamba na fisadi Lowasa huku ni kumkosea Mungu adabu klk pitiliza unapswa utubu kwa Mungu kwa kumkosea kiasi hicho!
Lowasa ni fisadi tna ni fisadi papa na ndiyo maana hata chama chake kilimkata kwa maana ufisadi wake ulipitiliza na walishindwa hata jinsi ya kumsafisha ili kushinda Uchaguzi wakaamua kumtema leo hii kahamia chadema unaanza kumusisha na Mungu kwa lipi?
Kwa maana nyingine mateso wanayoyapata Watz kuanzia kufa br kwa ajali, kukosa Umeme, wamama kujifungulia barabarani, watoto kushindwa kusoma kote huku huwezi kukutenganusha na fisadi Lowasa, hela alizoiba ambazo leo hii anazitumia chadema ni fedha haramu ndizo zinazokosekana mahospitalini, shuleni, ujenzi wabr n.k hivyo hayo yote ni kinyume na matakwa ya Mungu na hivyo ni dhambi kubwa kumuhusisha fisadi Lowasa na Mungu kwa vyovyote vile kwanza siajabu hata Mungu hakumuumba fisadi huyu!
Hapa mwendo ni mchaka mchaka mpaka Ikulu.
Chadema kimevuka katika hatua za uanaharakati!Kwanini havai gwanda lakini!
Unasikitisha sana umelitaja jin la Mungu krb mara 5 sambamba na fisadi Lowasa huku ni kumkosea Mungu adabu klk pitiliza unapswa utubu kwa Mungu kwa kumkosea kiasi hicho!
Lowasa ni fisadi tna ni fisadi papa na ndiyo maana hata chama chake kilimkata kwa maana ufisadi wake ulipitiliza na walishindwa hata jinsi ya kumsafisha ili kushinda Uchaguzi wakaamua kumtema leo hii kahamia chadema unaanza kumusisha na Mungu kwa lipi?
Kwa maana nyingine mateso wanayoyapata Watz kuanzia kufa br kwa ajali, kukosa Umeme, wamama kujifungulia barabarani, watoto kushindwa kusoma kote huku huwezi kukutenganusha na fisadi Lowasa, hela alizoiba ambazo leo hii anazitumia chadema ni fedha haramu ndizo zinazokosekana mahospitalini, shuleni, ujenzi wabr n.k hivyo hayo yote ni kinyume na matakwa ya Mungu na hivyo ni dhambi kubwa kumuhusisha fisadi Lowasa na Mungu kwa vyovyote vile kwanza siajabu hata Mungu hakumuumba fisadi huyu!
Angalieni mwehu mwingine huyu sijui kaibukia wapi. Wewe ndio unamkosea mungu adabu kwa kumhukumu mtu ambaye huna uhakika na ufisadi unao uongelea juu yake. Humjui mungu na huna imani. Ukiitwa na kuombwa kutoa ushuhuda wa ufisadi unaoongelea hapa utaishia kuzungumzia magazeti na blogs ziliandika Lowassa fisadi. Acheni kuwa waongo na kuamini ujinga ujinga wa mitaani. Mnaacha kuwasema wakina Chenge wenye ushahidi wa kutosha wa billion za fedha mnakuja msema baba wa watu. Fanya kazi mama ulipe kodi fedha zako zije kutumika na CCM kukununua uwapigie kura.
Angalieni mwehu mwingine huyu sijui kaibukia wapi. Wewe ndio unamkosea mungu adabu kwa kumhukumu mtu ambaye huna uhakika na ufisadi unao uongelea juu yake. Humjui mungu na huna imani. Ukiitwa na kuombwa kutoa ushuhuda wa ufisadi unaoongelea hapa utaishia kuzungumzia magazeti na blogs ziliandika Lowassa fisadi. Acheni kuwa waongo na kuamini ujinga ujinga wa mitaani. Mnaacha kuwasema wakina Chenge wenye ushahidi wa kutosha wa billion za fedha mnakuja msema baba wa watu. Fanya kazi mama ulipe kodi fedha zako zije kutumika na CCM kukununua uwapigie kura.
Hapa mwendo ni mchaka mchaka mpaka Ikulu.
mbona fisadi mkwere kaiba kila kitu lakini anatajwa msikitini na kanisani kila siku
ccm ife tuu...