rr3
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,045
- 3,821
Kila nikitafakari, natamani ningekuwa na rafiki kama Lowassa.
Mtu mkimya, mstaarabu aliyejaa hekima na hofu ya MUNGU.
Ni mambo mangapi ambayo LOWASSA anayajua kuhusu rafikiye ambaye hawakukutana barabarani. Hata siku moja hajawahi kutamka siri yeyote kuhusu JK na chama chake.
Kuna watu ni waropokaji, wangekuwa wameshamwaga mchele siku mingi toka 2008. Lakini EL kavumilia anaendelea na yake. Huyu mtu ana koromeo.
Ametukanwa hadi na akina nape, mzee wa watu kimya tu. Je si huyu ndiye anayetufaa kwa sasa?
Hakika huyu ndiye ajaye na atatuvusha.
Kwanza Rais anatakiwa asiwe muongeaji ovyo na mropokaji. Waongeaji wengi si watendaji na WATENDAJI WENGI SI WAONGEAJI. Mtu mkimya ni mtu mtendaji sana. His actions speaks for him.
OUR NEXT PRESIDENT IS EDWARD LOWASSA. GOD HAS FINALLY CAME TO OUR RESCUE.
LONG LIVE MY PRESIDENT
Mtu mkimya, mstaarabu aliyejaa hekima na hofu ya MUNGU.
Ni mambo mangapi ambayo LOWASSA anayajua kuhusu rafikiye ambaye hawakukutana barabarani. Hata siku moja hajawahi kutamka siri yeyote kuhusu JK na chama chake.
Kuna watu ni waropokaji, wangekuwa wameshamwaga mchele siku mingi toka 2008. Lakini EL kavumilia anaendelea na yake. Huyu mtu ana koromeo.
Ametukanwa hadi na akina nape, mzee wa watu kimya tu. Je si huyu ndiye anayetufaa kwa sasa?
Hakika huyu ndiye ajaye na atatuvusha.
Kwanza Rais anatakiwa asiwe muongeaji ovyo na mropokaji. Waongeaji wengi si watendaji na WATENDAJI WENGI SI WAONGEAJI. Mtu mkimya ni mtu mtendaji sana. His actions speaks for him.
OUR NEXT PRESIDENT IS EDWARD LOWASSA. GOD HAS FINALLY CAME TO OUR RESCUE.
LONG LIVE MY PRESIDENT