dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,332
- 1,862
Inaonekana ni 'Clip' ya karibuni ndani ya Onyesho la kimataifa la SAUTI ZA BUSARA, Zanzibar.
TUKIO:
Mtangazaji anamsogolea mkongwe, Mwana-HIPHOP-Mahiri, 'Mweusiiii' Lord Eyez. Huku onyesho likiwa linaendelea Stejini na anamdodosa 'Lord Eezy' maoni yake kwa Msanii mwenzake aliyeko stejini wakati huo 'bwana Ushauri' kama alivyombatiza kwa wakati ule 'rapa' WAKAZI.
Jibu la Lord limenifikirisha sana;
"Hata '94 tulikuwa hat-rap hivi na Cheko juu"
Ni Mara chache sana kwa Wasanii kupondeana hadharani hata kama wanayo yao wasiyokubaliana nyuma ya Pazia.
Lakini kauli 'kavu' ya Lord inashangaza. Sitaki kuamini kuwa yale ni maneno ya 'Kilaji' sababu mtoa kauli anaone kana kushikilia 'Bilauri', kilichomo ndaniyake wewe na mimi hatujui na si kazi yetu kujua. Tunaweza tukachuma dhambi kwani huenda ni 'Sharbat' tu ama lah ingawa ikiwa lah inaweza kuwa shida kidogo.
Yaani anamaanisha WAKAZI Hajapevuka Kisanii (Kwenye Ku-Rap) na hadi sasa yupo na 'staili' za nyuma kiasi kwamba ni zile za kukimbizana na akina Saleh Jabir, SOS B, Fresh G, Eazy B ama KU Crew ya Enzi za akina OJ nk?
Sikuwepo kwenye Tukio hivyo siwezi kuwa Pilato mzuri kuhukumu ubora na utendaji wa 'Wa-Job' pale.
Hatahivyo, kwa Heshma aliyonayo Eezy ktk tasnia ya Hip-hop mawili; Pengine Wana Maugomvi binafsi au tena ni kweli na hakika kwamba Kazi ya Wakazi ' YAKIDWANZI'.
Nawakilisha.
TUKIO:
Mtangazaji anamsogolea mkongwe, Mwana-HIPHOP-Mahiri, 'Mweusiiii' Lord Eyez. Huku onyesho likiwa linaendelea Stejini na anamdodosa 'Lord Eezy' maoni yake kwa Msanii mwenzake aliyeko stejini wakati huo 'bwana Ushauri' kama alivyombatiza kwa wakati ule 'rapa' WAKAZI.
Jibu la Lord limenifikirisha sana;
"Hata '94 tulikuwa hat-rap hivi na Cheko juu"
Ni Mara chache sana kwa Wasanii kupondeana hadharani hata kama wanayo yao wasiyokubaliana nyuma ya Pazia.
Lakini kauli 'kavu' ya Lord inashangaza. Sitaki kuamini kuwa yale ni maneno ya 'Kilaji' sababu mtoa kauli anaone kana kushikilia 'Bilauri', kilichomo ndaniyake wewe na mimi hatujui na si kazi yetu kujua. Tunaweza tukachuma dhambi kwani huenda ni 'Sharbat' tu ama lah ingawa ikiwa lah inaweza kuwa shida kidogo.
Yaani anamaanisha WAKAZI Hajapevuka Kisanii (Kwenye Ku-Rap) na hadi sasa yupo na 'staili' za nyuma kiasi kwamba ni zile za kukimbizana na akina Saleh Jabir, SOS B, Fresh G, Eazy B ama KU Crew ya Enzi za akina OJ nk?
Sikuwepo kwenye Tukio hivyo siwezi kuwa Pilato mzuri kuhukumu ubora na utendaji wa 'Wa-Job' pale.
Hatahivyo, kwa Heshma aliyonayo Eezy ktk tasnia ya Hip-hop mawili; Pengine Wana Maugomvi binafsi au tena ni kweli na hakika kwamba Kazi ya Wakazi ' YAKIDWANZI'.
Nawakilisha.