Huwa haidumu pale ambapo wahusika wana material love (mapenzi kwa sababu ya vitu, na si upendo). Ndiyo maana mnapokuwa mbali, huvunjika kwa kuwa vitu vinavyowaunganisha havipatikani tena. Lakini kama kuna upendo wa kweli, hata mmoja wapo akifa, aliyebaki ataendelea kumuenzi na kumpenda japo kwa kutazama picha yake tu!
Mwenzangu D hebu tukae tungoje. But amezilinganisha na zipi? Mbona hata za zero distance zinavunjika?Mh... Ngoja nisikilize kwa makini...
Nimependa mawazo yako kwani kweli tupu!!Huwa haidumu pale ambapo wahusika wana material love (mapenzi kwa sababu ya vitu, na si upendo). Ndiyo maana mnapokuwa mbali, huvunjika kwa kuwa vitu vinavyowaunganisha havipatikani tena. Lakini kama kuna upendo wa kweli, hata mmoja wapo akifa, aliyebaki ataendelea kumuenzi na kumpenda japo kwa kutazama picha yake tu!
Nimependa mawazo yako kwani kweli tupu!!
Sio bila kujali teacher,ila mnaweza kuwa mbali as long as it takes kutokana na sababu zilizopo,ila kama mahusiano yenu yametokana na vitu kama alivyosema mkuu hamtadumu!naona huyo hajanijibu wewe unaweza ka miaka nenda rudi mbali nampenzio bila kujali?
Sio bila kujali teacher,ila mnaweza kuwa mbali as long as it takes kutokana na sababu zilizopo,ila kama mahusiano yenu yametokana na vitu kama alivyosema mkuu hamtadumu!
Mwenzangu D hebu tukae tungoje. But amezilinganisha na zipi? Mbona hata za zero distance zinavunjika?
"Distance means so little whenmeans so much. Whenever I start feeling sad,
...because I miss you, I remind myself how lucky I am to have someone so special to miss."
...........................Mbu nasoma katikati ya mistari ujue!!