Jakubumba
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 1,624
- 500
Haikatazwi japo kwenye sponsorship ulikuwa umejificha!! Naomba niwe shahidi wakati unamgea....unajua huyu ni malkia eeh? Lol
sikujificha kipipi! Majukumu yalikuwa mengi! I am serious naomba uwe shahidi wangu nikimkabidhi zawadi nyingine. Inamana sponsor ndo akajitokeza tsh 50,000? Acheni utani na keyboard. Nipm nitangaze dau langu!