Inanikumbusha kipindi cha VVD, Klopp hakumtaka beki mwingine wa kati zaidi yake. Akakubali kumsubiri mpaka msimu uliofuata. Ila january ikachangwa karata wakamleta and the defence problem solved.
Lets see kwa Belligham maana wengi wa english players kama homa za masaa.
Yaani kwanza umeona hizo pesa wanazotaja kwa huyu dogo eti £90m+ sasa najiuliza kwa mpira gani mbona wa kawaida sana kuuzwa hio ela.

Bora Kipara kajiongeza mapema sana kwa Kavin Phillips hakutaka mambo mengi...

Mkuu haya mambo ya kusubiri yanaweza kulipa ama ukajikuta umepigwa tazama Keita ilibidi kusubiri msimu mzima ndio aje Liverpool lakini tazama output yake na bei yake utaona RB walikwenda benki wanachekelea sana.

Kwa VVD sawa ni moja ya biashara murwa sana chini ya Klopp.

Sina imani na kabisa na huyo Bellingham. Nwa muda utasema.

Ingekua powa sana haya mambo ya kusibiri waachane nayo na watue mazima Chelsea kwa dogo Gallagher

YNWA
 
Screenshot_20220711_203303_com.android.chrome_edit_77192447642908.jpg


Go boy enjoy and be ready for Qatar.

YNWA
 
Captain Marvelous.
Hiyo pesa ni ndefu kwake. Hapo ukienda Brazil/Uruguay/Argentina/Spain/Italy/France mbona wa £45m wapo wenye uwezo kuliko Belligham. Mf. Kina Zaniola, Barella, Asensio they are good na ni cheap. Utashangaa anakua kama Sancho.
Ndio ushangae ndugu yaaani hawa Waingereza siwaamini hata kwa lipi imajini Declan Rise anauzwa £150m msimu huu hahaha sasa kwa mpira upi hua namuona kama ni Henderson aliechangamka 😂😂😂

Italy kuna wachezaji wazuri tu na bei sio kali kihivyo tazama Barella, Zaniolo, Pellegrini hao ni direct team A full vipaji sio za kuungaunga kama hawa British...

Ngoja muda utasema. Japo Klopp anasema kashafunga dirisha labda atokee mchezaji wake aseme anataka kuodoka pengine ndio hapo Liverpool wataingia sokoni...

Klopp kasema anatarajia kuchanganya damu changa Morton, Jones, Elliott, Fabio na wazee akina Milner, Keita, Henderson nk Klopp yupo very optimistic na huu msimu pale kati patakaa sawa kwa sababu anakuja na formation mpya ambayo anaona wachezaji alionao wanaimudu.

YNWA
 
Klopp: Hatutamlazimisha Taylor Morton kucheza controlling no. 6 kwenye Premier League, atacheza no. 8 wow, anaonekana mzuri eneo hilo.
 
Back
Top Bottom