Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,846
- Thread starter
- #41
MBONA MNACHONGA SANA? tunawavutia kasi tu
...inabidi mfunge twin cam, turbo charged engine maana wanakuja hao, ...Man U aliwasha indicator mapema, keshapita, ...A'Villa nao hao wana ku flash... Chelsea wao wanakuonea haya kukupita...
sie washika bunduki tuna mark time, tunawasubiria kwenye milima...