Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,362
Hapana baby, huku bwawani kuna utamu wake ingia siku moja tuogelee pamojaDah ila uku kama umechemka hivi baby ake .......
Hapana baby, huku bwawani kuna utamu wake ingia siku moja tuogelee pamojaDah ila uku kama umechemka hivi baby ake .......
Basi itabidi siku moja tuogelee nione utam wa bwawani.Hapana baby, huku bwawani kuna utamu wake ingia siku moja tuogelee pamoja
Ewaaa.... usisahau. Uje without kabisa.Basi itabidi siku moja tuogelee nione utam wa bwawani.
Hilo babu halisauliki ni kama rozali kwa muumini mkatoliki.Ewaaa.... usisahau. Uje without kabisa.
Ewaaaaaa...... au kama nini kwa mlaji wa mbuzi katoliki??Hilo babu halisauliki ni kama rozali kwa muumini mkatoliki.
tehteh na Arsenal ni timu inayofungwa na timu kubwa kubwa ushindi mpaka ikitane na timu ndogo ndogo au? Sasa tutaiitaje Arsenal?Liverpool ni truly a mid-table team. Mnakamia mechi vs timu kubwa mkicheza dhidi ya timu ndogo mnapotea kama meno ya kuku. What's going on?
tehteh na Arsenal ni timu inayofungwa na timu kubwa kubwa ushindi mpaka ikitane na timu ndogo ndogo au? Sasa tutaiitaje Arsenal?
tukumbuke LFC na Burnley hawakupotea walicheza mpira kila kitu sawa kasoro mabeki tu na ukitizama nani wanamfumo wakucheza mpira na kufungwa ni Arsenal so kama ulivyowahi kusema kila game inamfumo wake LFC lazima ielewe hivyo ukicheza piga juu rukia piga mtu bega lazima na wewe ufanye hivyohivyo. mpira wa asilimia 60 na kufungwa ni wa Arsenal. ndomana nachukia LFC ikitokea hivyo timu ndogo si za kuzarau kucheza pasi ni zakukimbiza.Liverpool ni truly a mid-table team. Mnakamia mechi vs timu kubwa mkicheza dhidi ya timu ndogo mnapotea kama meno ya kuku. What's going on?
Leo mlikuwa na possession ngapi na vs Burnley mlikuwa na ngapi? Sisi huwa tunatereza mara chache tunapokuwa na possession ya asilimia 60 ukilinganisha na Liverpooltukumbuke LFC na Burnley hawakupotea walicheza mpira kila kitu sawa kasoro mabeki tu na ukitizama nani wanamfumo wakucheza mpira na kufungwa ni Arsenal so kama ulivyowahi kusema kila game inamfumo wake LFC lazima ielewe hivyo ukicheza piga juu rukia piga mtu bega lazima na wewe ufanye hivyohivyo. mpira wa asilimia 60 na kufungwa ni wa Arsenal. ndomana nachukia LFC ikitokea hivyo timu ndogo si za kuzarau kucheza pasi ni zakukimbiza.
Inaonekana kuna tatizo kati ya Klopp na SturidgeNo Comment to Officials! ila najua ingekuwa wengine maamuzi yangekubalika LFC YNWA! wasiwasi wangu Sturidge dk za mwisho transfer itakuja pesa ya yeye kuondoka. Klopp najua mtu wa hasira ajifunze mpira siku hizi na hawa Players unaumia Manager ila Players nao waache malalamiko wacheze mpira.
Tehe tehe Arsenal timu kubwa kama TEMBO wakitereza mnasema wameanguka. Mkianguka nyinyi mnasema mmejikwaa. Game 8-10 tutajua sura ya ligi itakavyokuwa.
Ni timu kubwa kwa kupiga mikeleleTimu zote kubwa zina ndoo za UEFA champions league
Sasa Arsenal ni timu kubwa kwa kigezo kipi?
hahahaahahaaa mkuu watakwambia kwa sababu wanashiriki kila mwakaTimu zote kubwa zina ndoo za UEFA champions league
Sasa Arsenal ni timu kubwa kwa kigezo kipi?