Mavalentina agandi nsmbie
Vale usiniite
Aaaaache sasa! Mara anaanza kuniambia hivi kwa mfano nikigeuka nyoka hapa! Hapana chezea Mshana Jr.Hajakusimulia mambo ya misukule,mochwari,kufufuka kwa wafu e.t.c ukaota usiku mwanawane?
wamelalwa!!! u want some?
duh...
kwa masharti tena?
cute b njoo huku mwanawane,huku ndo kwenyewe!!
Nilichelewa kuona notification mkuu.....
Hivi mnakutana live au kwa text tu? Mi mgeni jamani, naomba ke aliye free anipe mwongozo
Mimi nimeingia juz juz tuu na tayari nimemtoa Kim nana toka Zenji to Arusha. Ni wewe tu na ubora wako.
Jamani swetieee, afu Arachuga baridi kuleee.....sijui nitoroke nije tena...
Karibu tena kiburudisho changu, msimu huu goma nalidhamini mie. Natanguliza shukurani kwa wewe kudhamini chezo lililopita...