Yahya, tumefikia hapa sababu ya kuingiza sana uswahiba katika serikali.Waziri anafanay madudu na utamsikia anajigamba tena bila wasi wasi kwamba SIWEZI KUJIHUZURU kwa vile nilikuwa appointed na president!Maana yake ni nini hapa, rais amepewa madaraka makubwa sana kikatiba.
Inatakiwa mawaziri wasiwe wateule wa raisi mfumo ubadirike na kuwa wateule wa bunge,ili iwe rahisi kwa wabunge kuwawajibika.Leo hii kwa vile kaka yetu na raisi wetu amekalia uswahiba kila sehemu na kukimbilia kwa wazee wa Dar, sitegemei mabadiriko katika baraza lijalo tutarajie kuona sura zile zile katika kona tofauti na kuongezea rafiki zake kina Stephen Maselle. Na uwajibikaji usiishie kutoka madarakani bali sheria pia ipewe nafasi kwa waliotuhumiwa kufisadi pesa ya umma.
Na kwa nini Dr Mrema asikabidhiwe kitengo kipya cha kudeal na maadili ya mawaziri?
Inatakiwa mawaziri wasiwe wateule wa raisi mfumo ubadirike na kuwa wateule wa bunge,ili iwe rahisi kwa wabunge kuwawajibika.Leo hii kwa vile kaka yetu na raisi wetu amekalia uswahiba kila sehemu na kukimbilia kwa wazee wa Dar, sitegemei mabadiriko katika baraza lijalo tutarajie kuona sura zile zile katika kona tofauti na kuongezea rafiki zake kina Stephen Maselle. Na uwajibikaji usiishie kutoka madarakani bali sheria pia ipewe nafasi kwa waliotuhumiwa kufisadi pesa ya umma.
Na kwa nini Dr Mrema asikabidhiwe kitengo kipya cha kudeal na maadili ya mawaziri?