Live on Mlimani TV: Zitto Kabwe Vs Hamis Kigwangalla - Pushing forward the youth/Housing agenda!

HKigwangalla

JF-Expert Member
Feb 6, 2008
717
971
Nimealikwa MLIMANI TV leo usiku kuanzia saa 2.30 usiku kwenye kipindi kinachoitwa Keki ya Taifa. Na pia nimealikwa MAGIC FM kesho asubuhi kuanzia saa 1.30.

Pamoja na mambo mengine, nitaongelea

(1.) Model ya kukuza ajira kwa vijana kupitia uwekezaji kwenye viwanda vyenye direct linkages na kilimo (kwa kutoa mikopo maalum kwa vijana wasomi) na kwenye kilimo chenyewe (kwa vijana wa vijijini na wasio na elimu/ujuzi), kama nilivyoiandaa tayari kwa kuiwasilisha Bungeni kwenye mkutano wa saba mwezi April 2012. Taarifa ya hoja hii nimeishaiwasilisha Bungeni tayari.

(2.) Model ya kujenga nyumba na kuzikopesha/kuziuza leo hii kwa watumishi wa umma na private sector employees kwa kutumia hazina ya watumishi hawa kama dhamana ya mikopo hiyo. Hii itatuwezesha kuwa na nyumba bora, zenye huduma zote, zenye ubora zote, miji mizuri, na kutufanya tuishi vizuri leo na wala siyo kesho. Si haki wala halali kwa watu wa leo kujenga maisha ya watu wa kesho wakati wao wakitaabika...

(3.) Current affairs - ikiwa ni pamoja na Kauli aliyoitoa Mhe. Spika kule jimboni kwake kuhusu hali ya maisha, kifedha, ya wabunge na kushuhudia kuwa wengi wao wanakusudia kujiuzulu ubunge kabla ya muda wao kuwadia
 
Nimealikwa MLIMANI TV leo usiku kuanzia saa 2.30 usiku kwenye kipindi kinachoitwa Keki ya Taifa. Na pia nimealikwa MAGIC FM kesho asubuhi kuanzia saa 1.30.

Pamoja na mambo mengine, nitaongelea

(1.) Model ya kukuza ajira kwa vijana kupitia uwekezaji kwenye viwanda vyenye direct linkages na kilimo (kwa kutoa mikopo maalum kwa vijana wasomi) na kwenye kilimo chenyewe (kwa vijana wa vijijini na wasio na elimu/ujuzi), kama nilivyoiandaa tayari kwa kuiwasilisha Bungeni kwenye mkutano wa saba mwezi April 2012. Taarifa ya hoja hii nimeishaiwasilisha Bungeni tayari.

(2.) Model ya kujenga nyumba na kuzikopesha/kuziuza leo hii kwa watumishi wa umma na private sector employees kwa kutumia hazina ya watumishi hawa kama dhamana ya mikopo hiyo. Hii itatuwezesha kuwa na nyumba bora, zenye huduma zote, zenye ubora zote, miji mizuri, na kutufanya tuishi vizuri leo na wala siyo kesho. Si haki wala halali kwa watu wa leo kujenga maisha ya watu wa kesho wakati wao wakitaabika...

(3.) Current affairs - ikiwa ni pamoja na Kauli aliyoitoa Mhe. Spika kule jimboni kwake kuhusu hali ya maisha, kifedha, ya wabunge na kushuhudia kuwa wengi wao wanakusudia kujiuzulu ubunge kabla ya muda wao kuwadia

kuwa makini na utakachoongea!!!!vinginevyo hizo media unazozitafuta kwa kasi zikujenge hazitakujenga!!!!zitakubomoa!!!
 
Hauwezi ukatupa mawazo yako hapa kwenye hicho kipengele cha tatu...japo kwa uchache tu?
 
Nimealikwa MLIMANI TV leo usiku kuanzia saa 2.30 usiku kwenye kipindi kinachoitwa Keki ya Taifa. Na pia nimealikwa MAGIC FM kesho asubuhi kuanzia saa 1.30.

Pamoja na mambo mengine, nitaongelea

(1.) Model ya kukuza ajira kwa vijana kupitia uwekezaji kwenye viwanda vyenye direct linkages na kilimo (kwa kutoa mikopo maalum kwa vijana wasomi) na kwenye kilimo chenyewe (kwa vijana wa vijijini na wasio na elimu/ujuzi), kama nilivyoiandaa tayari kwa kuiwasilisha Bungeni kwenye mkutano wa saba mwezi April 2012. Taarifa ya hoja hii nimeishaiwasilisha Bungeni tayari.

(2.) Model ya kujenga nyumba na kuzikopesha/kuziuza leo hii kwa watumishi wa umma na private sector employees kwa kutumia hazina ya watumishi hawa kama dhamana ya mikopo hiyo. Hii itatuwezesha kuwa na nyumba bora, zenye huduma zote, zenye ubora zote, miji mizuri, na kutufanya tuishi vizuri leo na wala siyo kesho. Si haki wala halali kwa watu wa leo kujenga maisha ya watu wa kesho wakati wao wakitaabika...

(3.) Current affairs - ikiwa ni pamoja na Kauli aliyoitoa Mhe. Spika kule jimboni kwake kuhusu hali ya maisha, kifedha, ya wabunge na kushuhudia kuwa wengi wao wanakusudia kujiuzulu ubunge kabla ya muda wao kuwadia

Kwa hili nipo makini kusikia Mhe Hamis unasemaje; ndiyo unaenda kutangaza kujiuzulu Ubunge maana matarajio ya mapato ni tofauti au utampinga mama mwenye tamaa asiyetosheka na anachokipata!!
 
Ntogwi (hivi wewe ndiye yule mwalimu wangu wa pale MUCHS ama uko related naye tu) hahahahaaaa unanikumbusha mbali sana.

Sizitafuti hizi media, zinanitafuta kwa kuwa nina-push forward ajenda za muhimu kwa ustawi wa Taifa letu...hata hivyo sina haja sana ya kujengwa na sijali sana kubomolewa, mimi naishi maisha yangu kama ninavyoyaona tu na sitegemei chochote kile cha ajabu zaidi ya kutoa maoni yangu. Ndiyo maana sina wasiwasi.
 
I hope Hkigwangala ni mmoja wa wale wabunge nusu ambao spika Makinda ametuambia wanampango wa kuacha ubunge kukwepa umaskini..!
 
Je ushaimplement mahali japo kwa mfano tu, hizo models zako 1&2, au ni mwendeleze wa michapo?

Nyie Wanasiasa mnapenda sana kuongea maneno matamu kwenye Media badala ya kuita Waandishi wa habari kwenye eneo lako ulilojenga Models (hata kwa mfano tu)ili watazamaji waone in reality what you intend to teach and empower to them... huh!
 
kumbuka umebakiza 2.8 years utoweke kwenye siasa
ccm lazima tukuchune ngozi kwa kuchochokea mgomo wa madaktari na kumdhalilisha PINDA

Inabidi uanze kusifia ccm ilivyoumaliza mgomo wa madaktari vinginevyo 2015 utaisoma
 
Nimealikwa MLIMANI TV leo usiku kuanzia saa 2.30 usiku kwenye kipindi kinachoitwa Keki ya Taifa. Na pia nimealikwa MAGIC FM kesho asubuhi kuanzia saa 1.30.

Pamoja na mambo mengine, nitaongelea

(1.) Model ya kukuza ajira kwa vijana kupitia uwekezaji kwenye viwanda vyenye direct linkages na kilimo (kwa kutoa mikopo maalum kwa vijana wasomi) na kwenye kilimo chenyewe (kwa vijana wa vijijini na wasio na elimu/ujuzi), kama nilivyoiandaa tayari kwa kuiwasilisha Bungeni kwenye mkutano wa saba mwezi April 2012. Taarifa ya hoja hii nimeishaiwasilisha Bungeni tayari.

(2.) Model ya kujenga nyumba na kuzikopesha/kuziuza leo hii kwa watumishi wa umma na private sector employees kwa kutumia hazina ya watumishi hawa kama dhamana ya mikopo hiyo. Hii itatuwezesha kuwa na nyumba bora, zenye huduma zote, zenye ubora zote, miji mizuri, na kutufanya tuishi vizuri leo na wala siyo kesho. Si haki wala halali kwa watu wa leo kujenga maisha ya watu wa kesho wakati wao wakitaabika...

(3.) Current affairs - ikiwa ni pamoja na Kauli aliyoitoa Mhe. Spika kule jimboni kwake kuhusu hali ya maisha, kifedha, ya wabunge na kushuhudia kuwa wengi wao wanakusudia kujiuzulu ubunge kabla ya muda wao kuwadia


Is this agenda real of paramount importance kwa taifa na wakati huu........wabunge kuachia nafasi koz of fedha n ol that????? Is not this going to raise a dozen of comparative questions?????

My opinion on that; Discuss on inflation rates versus number of unemployed youths and the way forward.........
 
(1.) Model ya kukuza ajira kwa vijana kupitia uwekezaji kwenye viwanda vyenye direct linkages na kilimo (kwa kutoa mikopo maalum kwa vijana wasomi) na kwenye kilimo chenyewe (kwa vijana wa vijijini na wasio na elimu/ujuzi), kama nilivyoiandaa tayari kwa kuiwasilisha Bungeni kwenye mkutano wa saba mwezi April 2012. Taarifa ya hoja hii nimeishaiwasilisha Bungeni tayari.

Utakuza ajira zipi zilizopo? Viwanda vipi vyenye linkages na kilimo ? Mikopo utaitoa kutoka wapi?

(2.) Model ya kujenga nyumba na kuzikopesha/kuziuza leo hii kwa watumishi wa umma na private sector employees kwa kutumia hazina ya watumishi hawa kama dhamana ya mikopo hiyo. Hii itatuwezesha kuwa na nyumba bora, zenye huduma zote, zenye ubora zote, miji mizuri, na kutufanya tuishi vizuri leo na wala siyo kesho. Si haki wala halali kwa watu wa leo kujenga maisha ya watu wa kesho wakati wao wakitaabika...

Dakitari.....walipe kwa mishahara au posho? Sijawahi kusikia ''hazina ya utumishi'' kuwa collateral popote duniani.....hii ni mpya.........na nani anatutaabisha? Kam si wewe na chama chako?

(3.) Current affairs - ikiwa ni pamoja na Kauli aliyoitoa Mhe. Spika kule jimboni kwake kuhusu hali ya maisha, kifedha, ya wabunge na kushuhudia kuwa wengi wao wanakusudia kujiuzulu ubunge kabla ya muda wao kuwadia

Naomba ujiuzulu uje kwenye tulichokusomesha....udakitari
 
nilitamani nichangie lakini kwa kuwa unataka maujiko ili tujue kuwa unatafutwa na media. aaaaahhhhhhhh, umejigamba tena mkuu
 
nilitamani nichangie lakini kwa kuwa unataka maujiko ili tujue kuwa unatafutwa na media. aaaaahhhhhhhh, umejigamba tena mkuu

Unajua huyu Dakitari mtu wa ajabu sana......wakati wa mgomo wa madikitari alijitia kiherehere magamba wenzie wakamshukia vibaya akanywea......leo anaibuka na haya.........ngoja aulizwe nani kakutuma
 
Nimealikwa MLIMANI TV leo usiku kuanzia saa 2.30 usiku kwenye kipindi kinachoitwa Keki ya Taifa. Na pia nimealikwa MAGIC FM kesho asubuhi kuanzia saa 1.30.

Pamoja na mambo mengine, nitaongelea

(1.) Model ya kukuza ajira kwa vijana kupitia uwekezaji kwenye viwanda vyenye direct linkages na kilimo (kwa kutoa mikopo maalum kwa vijana wasomi) na kwenye kilimo chenyewe (kwa vijana wa vijijini na wasio na elimu/ujuzi), kama nilivyoiandaa tayari kwa kuiwasilisha Bungeni kwenye mkutano wa saba mwezi April 2012. Taarifa ya hoja hii nimeishaiwasilisha Bungeni tayari.

(2.) Model ya kujenga nyumba na kuzikopesha/kuziuza leo hii kwa watumishi wa umma na private sector employees kwa kutumia hazina ya watumishi hawa kama dhamana ya mikopo hiyo. Hii itatuwezesha kuwa na nyumba bora, zenye huduma zote, zenye ubora zote, miji mizuri, na kutufanya tuishi vizuri leo na wala siyo kesho. Si haki wala halali kwa watu wa leo kujenga maisha ya watu wa kesho wakati wao wakitaabika...

(3.) Current affairs - ikiwa ni pamoja na Kauli aliyoitoa Mhe. Spika kule jimboni kwake kuhusu hali ya maisha, kifedha, ya wabunge na kushuhudia kuwa wengi wao wanakusudia kujiuzulu ubunge kabla ya muda wao kuwadia

halafu mbona unajichanganya wewe kwenye theard inayomhusu makamba umejibu nini na hapa unaongelea nini au ndo mbinu za kisiasa?
 
Tatizo la Tanzania sio kukosa strategies bali namna ya ku implement hizo strategies.

Mheshimiwa mimi ningeona unafanya la maana kama ungejaribu ku implement haya unayofikiria kule kwenye jimbo lako na kisha kuwaita Waandishi wa habari pamoja na wananchi wengine ili waone agenda yako ni ipi na jinsi inavyokuwa implemented.

Haya ya kujadili kwenye radio au majukwaani kila mtu anaweza. Tuende hatua moja mbele kwa kuionyesha jinsi hizo ideas zinavyoweza kuwa implemented kwa kuanzia na kwenye wilaya na kisha kukiwa na mafanikio basi itakuwa rahisi sana kuigwa kwenye wilaya nyingi au nchi nzima.
 
Kigwangala naona unafuata nyayo za babako anayejitangaza kila radio tabora kama mganga maarufu wa kieyeji! Wewe hajakurithisha?
 
kigwangalla umekimbia maswali humu JF,utakutana na sisi hapo mlimani tv kwa maswali kwa njia ya simu!!umelianzisha mwenyewe halafu unakimbia!bora usingetuambia,tutakuwa makini na maswali kwenye karatasi by that time.
 
Good luck daktari! only watch out what you say vs what you do!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom