HAMY-D utaangalia au tayari ulikuwepo kwa hiyo inatosha?View attachment 105205
1:00 USIKU leo alhamisi Usikose kuangalia kipindi kipya kabisa cha UZALENDO kikuhusu mambo yanayojiri katika medani ya siasa nchini na waalikwa wakiwa wanasiasa kutoka vyama tofauti wakichambua hoja mbalimbali kuhusiana na hali inavyoendelea nchini.Katika kipindi cha leo tutakuwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Bwana Philp Mangula na Katibu Mkuu wa Chadema,Dk.Wilbroad Slaa
Hivi ule mpango wa Chadema TV umeishia wapi au pesa yote imekwenda kujenga Hekalu kawe.
View attachment 105205
1:00 USIKU leo alhamisi Usikose kuangalia kipindi kipya kabisa cha UZALENDO kikuhusu mambo yanayojiri katika medani ya siasa nchini na waalikwa wakiwa wanasiasa kutoka vyama tofauti wakichambua hoja mbalimbali kuhusiana na hali inavyoendelea nchini.Katika kipindi cha leo tutakuwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Bwana Philp Mangula na Katibu Mkuu wa Chadema,Dk.Wilbroad Slaa
Ni ITV makuu.chanel gani???
FREEMAN MBOWE vs..................!?
TUNDU LISSU. vs................!?
GODBLESS vs.....................!?
HALIMA MDEE. vs..............!?
PETER MSIGWA. vs...........!?
JOSHUA NASSARI. vs........!?
JOSEPH MBILINYI(SUGU) vs......!?
VICENT NYERERE. vs..............!?
EZEKIEL WENJE. vs..................!?
HAINES KIWIYA. vs.................!?
SAIDI AMOR ARFI vs..............!?
Na wengineo wengi. Mwenye kuweza kujaza nafasi zilizo wazi pls naombeni ajaze! Nina uhakika kwa CCM hakuna tena wa kupambana na hawa niliowataja hapo juu.km yupo niambiwe!
hivi ule mpango wa chadema tv umeishia wapi au pesa yote imekwenda kujenga hekalu kawe.