Live on ITV - UZALENDO: Dr Slaa vs Mangula

Status
Not open for further replies.
View attachment 105205

1:00 USIKU leo alhamisi Usikose kuangalia kipindi kipya kabisa cha UZALENDO kikuhusu mambo yanayojiri katika medani ya siasa nchini na waalikwa wakiwa wanasiasa kutoka vyama tofauti wakichambua hoja mbalimbali kuhusiana na hali inavyoendelea nchini.Katika kipindi cha leo tutakuwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Bwana Philp Mangula na Katibu Mkuu wa Chadema,Dk.Wilbroad Slaa
HAMY-D utaangalia au tayari ulikuwepo kwa hiyo inatosha?
 
Last edited by a moderator:
Channel gani?
View attachment 105205

1:00 USIKU leo alhamisi Usikose kuangalia kipindi kipya kabisa cha UZALENDO kikuhusu mambo yanayojiri katika medani ya siasa nchini na waalikwa wakiwa wanasiasa kutoka vyama tofauti wakichambua hoja mbalimbali kuhusiana na hali inavyoendelea nchini.Katika kipindi cha leo tutakuwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Bwana Philp Mangula na Katibu Mkuu wa Chadema,Dk.Wilbroad Slaa
 
Kama vile kitakuwa Recorded....mbona kama kwenye picha Slaa ameshaongea? Ngoja tusubiri saa moja hiyo...jitahidi kuleta full story, siyo kuleta habari nusu nusu halafu unakimbilia kwenye togwa asubuhi asubuhi...asante kwa taarifa lakini...
 
namshauri mangula asivae koti au suti maana atalowa jasho na anaweza kuomba mapumziko kwani inapokuja kwenye hot mjadala kama aya namjua vizuri Dr.
 
FREEMAN MBOWE vs..................!?
TUNDU LISSU. vs................!?
GODBLESS vs.....................!?
HALIMA MDEE. vs..............!?
PETER MSIGWA. vs...........!?
JOSHUA NASSARI. vs........!?
JOSEPH MBILINYI(SUGU) vs......!?
VICENT NYERERE. vs..............!?
EZEKIEL WENJE. vs..................!?
HAINES KIWIYA. vs.................!?
SAIDI AMOR ARFI vs..............!?

Na wengineo wengi. Mwenye kuweza kujaza nafasi zilizo wazi pls naombeni ajaze! Nina uhakika kwa CCM hakuna tena wa kupambana na hawa niliowataja hapo juu.km yupo niambiwe!



Ahhhjhh....bandugu,huzi striker hatari!anaweza kunyofoka mtu ulimi!ushawahi kuona mtu anaongea mpaka mdomo unagusana na pua wewe!!!!
 
Ngoja tusikilize mawazo ya wazee wetu,mangula na dr slaa....nawaheshimu sana hawa wazee bila kujali itikadi zao
 
mbona slaa anatumia mkono mmoja wa kulia. ina maana wa kushoto ndiyo umelemaa! pole sana dkt!
 
slaa aache kuzungumzia udini kwa sbb mwenyewe na chama chake ni wadini
 
Kipindi kizuri, ila walichokesea kidogo ni wazungumzaji hawapo pamoja...

Ngoja tuendele kuangali.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom