Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,858
- 7,620
Haki zinapiganiwa haziombwi
mkuu thibitisha huo udini wa chadema na huyo slaa, vinginevyo ni chuki binafsi...slaa kasema udini unavunja uzalendo. nashangaa slaa kulaani udini hali ya kuwa yeye na chdm ni wadini
mkuu thibitisha huo udini wa chadema na huyo slaa, vinginevyo ni chuki binafsi...
mkuu mwenye sta hapo ni nani?Mtu mwenye familia yenye stata anawekwa meza moja na mtu mharifu ambaye hata familia hana anaishia kuokota wake za watu.
Channel gani sasa? Au redio gani? Kuna watu dizaini kama hawajaenda skuli.