Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,495
- 113,592
No big deal!. Shughuli ni watu na watu wenyewe ndio sisi!. Watu wanapokuwa high profile, ni uthibitisho Bob Makani alikuwa ni mtu wa watu na ni watu hao hao wamejitoa kumsindikiza safari yake ya mwisho!. Very gratifying!.Mbona hata msiba wa Kanumba hao wote walikuwepo...iwe nyumbani kwake au pale kwenye viwanja vya Lidaz....so what's the big deal Pasco?
Hapo wala sijataja majina hadi wale wazeiye wa Kanda ya
Ziwa walikuwepo na vijana wa Upanga na Upanga yao!.