Hutuba ya Mbowe imenigusa sana.
Too cheap.:A S thumbs_down::A S thumbs_down:
Mkuu Birigita, uwe mtu wa shukrani, yaani appreciation, shukuru kwa madogo ili ufunguliwe makubwa!.
Mimi nakueleza JK amejitolea PA ya Ikulu kwenye msiba wa muasisi wa Chadema, wewe badala ya kushukuru unajibu "too cheap!". Kiukweli its not too cheap!, its free kabisa!. Unadhani Chadema wamelipia Ikulu ili waletewe expensive PA hii iliyokuja ndio too cheap?!, au too cheap yako wewe ni ya nini?!.
Huu ndio unafiki unaonipa kichefu chefu.
Jana nilianzisha sredi jinsi CDM ilivomsahau mzee Makani kiasi hata cha kulitelekeza gari lake pale nyumbani kwake likiwa na pancha.
JF Mods wameitoa sredi hiyo.
Leo mnamsifia na kumuenzi kwa maneno matupu, huu ni ulaghai mkubwa usio na kifani.
JK ndio mwenye nyumba, sasa ww umepanga tu unataka mwenye nyumba asiongee huo huwa tunauita ni uzumbukukuTupe updates mambo ya JK katoa nini hapo haitusaidii sana and by the way kuna mtu kamwambia afanye hivyo?
PA ndiyo nini? Public address 'system' au?
...Sasa wewe umekomalia mambo ya PA ya ikulu, sijui shukran ect kwani aliombwa au umeambiwa hao hawakuwa na pesa za kutafuta PA system nyingine ? Mwishowe utasema tushukuru na makapeti, umeme, n.k
BTW ww ndo umeibeba hiyo PA from Ikulu tu hapo au ?
I totally agree, that is too cheap ! Same as ku just gusa jeneza ili tena muanze kusema ni mtu wa watu wakati wengine wanajua ni misifa tuu !!!