chumvichumvi
JF-Expert Member
- May 6, 2010
- 1,205
- 304
Leo ni leo ni kama vile mda hauendi cjui
Ndugu yangu naona umeamua kuripoti kwa mahaba mazito angalizo jioni ya leo usije na kauli tofauti, wapiga kura wenyewe hata laki moja na nusu hawafiki 80,000 ni CCM. endelea kuwajaza wenzako matumaini.
Mkuu tujulishe juu ya malalamiko niliyoyasikia toka wapo radio fm 98.00 kupitia kwa mtangazaji wake anton joseph akimuhoji nasari kuwa mawakala wa cdm km wa vituo 6 ivi walizuiwa kuingia vituoni, vipi ili tukio limejitokeza pia apo au kuna unalolijua??