jamani naomba nilete kilio changu kidogo! hivi huu ugumu wa maisha ni mimi mwenyewe ndo nnao u feel au ni watanzania wote???mbona kila mtu yupo kimya?
yan nimetoka kuweka mafuta saiv nimekuta lita moja ni 2,200 (yes elf mbili na mia mbili) hapo nilipo nasikia hazina haina hela na watu hawajalipwa mishahara. jaman hakuna anaye umia na hii hali mbona kimya???
Naomba msaada jamani hakuna lolote tunawezakufanya ili tubadili hii hali hata bei ya mafuta ipungue?mbona kenya wameandamana imeshuka sisi mbona tunaumia kimya kimya jaman????
yan nimetoka kuweka mafuta saiv nimekuta lita moja ni 2,200 (yes elf mbili na mia mbili) hapo nilipo nasikia hazina haina hela na watu hawajalipwa mishahara. jaman hakuna anaye umia na hii hali mbona kimya???
Naomba msaada jamani hakuna lolote tunawezakufanya ili tubadili hii hali hata bei ya mafuta ipungue?mbona kenya wameandamana imeshuka sisi mbona tunaumia kimya kimya jaman????