kingfish
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 571
- 159
lwenge hajatemwa,amehamishiwa wizara ya ujenzi kama naibu wazirilwenge
lwenge hajatemwa,amehamishiwa wizara ya ujenzi kama naibu wazirilwenge
Arudi wapi kiganyi kashachezea cock analoaa sasa!
Umemsahau Mwanri mkuu
Umemsahau Mwanri mkuu
Umemsahau Mwanri mkuu
Wadau ebu tutajieni list ya waliomwagwa Unaibu na Uwaziri.
Naanza na
1.Ngeleja
2.Maige
3.Nundu
4.Chami
5....
6...
7.Mkulo
Umemsahau Mwanri mkuu
Maige Atamaliziaje ule mkopo wa CRDB?
Apitishe michango kama mrema.
mkuu ni lini CCM imepata kuwa nzuri? sijawahi kuona ccm ikiwa nzuri toka imezaliwa!! CCM niijuayo ndiyo iliyoifilisi nchi kwani Iliwafikisha watanzania wakati mgumu kabisa, kula ilikuwa ya tabu kulala kwa shida. nyimbo za msondo, urafiki, dar international, mwenge jazz, vijana jazz, jkt mafinga ndizo zilibaki kuwapumbaza watanzania na dhiki zao wakaishi kwa matumaini... nakumbuka wakati mmoja bendi moja ilikwenda kupiga mziki wake diamond jubilee watu walikimbizana baada ya kutoka panya kwenye solo gitaa. na hao hao wapiga magita wa enzi hizo hata leo wako na wako CCM ekh jamani hivi aliyeturoga watanzania ni nani??Mimi napata shida sana kuona watu wanajenga hoja katika msingi wa tumaini mfu liitwalo CCM (muda huu Kikwete). Angalia hilo baraza "lililosukwa" kama sio aibu nyingine katika hii episode ya aibu ni nini?
I'm not negative, am just honest and direct.
Hivi Chami amerudi??
Arudi wapi kiganyi kashachezea cock analoaa sasa!
mwanri amebakia na nafasi yake ile ile,soma vizuri mkuu kabla haujamwaga critics zako...Jamaa nilijua ni mchapakazi kweli maana kila akienda kukagua shule lazima haikatae kumbe ni fisadi tu kelele nyingi kwenye TV kumbe ufanyaji kazi zero.