King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,514
Wadau ebu tutajieni list ya waliomwagwa Unaibu na Uwaziri.
Naanza na
1.Ngeleja
2.Maige
3.Nundu
4.Chami
5....
6...
7.Mkulo
Naanza na
1.Ngeleja
2.Maige
3.Nundu
4.Chami
5....
6...
7.Mkulo
Prof. Mwandosya. Kutokuwa na wizara maalum ni sawa na kupigwa nje.
Prof. Mwandosya. Kutokuwa na wizara maalum ni sawa na kupigwa nje.
Hivi Chami amerudi??
Mwandosya anaumwa, hakustahili hata kuitwa waziri. Au jamaa kaamua kumtunzia heshima bosi wake wa zamani. Hii serikari ya kishikaji hiiiiii, mweeeeeee!!!!!!!!!!!!
waziri bila wizara maalum hii ndio Tanzania bwana , watu wanagawiana vyeo na kujazana maofisini hata kama hawana umuhimu wowote!
Mwandosya anaumwa, hakustahili hata kuitwa waziri. Au jamaa kaamua kumtunzia heshima bosi wake wa zamani. Hii serikari ya kishikaji hiiiiii, mweeeeeee!!!!!!!!!!!!