List ya Waliomwagwa Uwaziri+Unaibu

Prof. Mwandosya. Kutokuwa na wizara maalum ni sawa na kupigwa nje.

Mwandosya anaumwa, hakustahili hata kuitwa waziri. Au jamaa kaamua kumtunzia heshima bosi wake wa zamani. Hii serikari ya kishikaji hiiiiii, mweeeeeee!!!!!!!!!!!!
 
waziri bila wizara maalum hii ndio Tanzania bwana , watu wanagawiana vyeo na kujazana maofisini hata kama hawana umuhimu wowote!
 
Mwandosya anaumwa, hakustahili hata kuitwa waziri. Au jamaa kaamua kumtunzia heshima bosi wake wa zamani. Hii serikari ya kishikaji hiiiiii, mweeeeeee!!!!!!!!!!!!

Plate namba ya gari lake (lazima litakuwa jipya) itasomeka W AW (Waziri Asiye na Wizara)! Sijui jengo la wizara yake litakuwa wapi na wizara sijui itakuwa na watumishi wangapi. Sanaa bana!
 
waziri bila wizara maalum hii ndio Tanzania bwana , watu wanagawiana vyeo na kujazana maofisini hata kama hawana umuhimu wowote!

Wamemfanyia heshima afe akiwa waziri azikwe kwa heshima za kiwaziri manake ni marathi ndo yamemkwaza ila ni mchhapa kazi mara mia angemtupa wizara ya afya akasaidia kule huku anatibiwa
 
Mimi napata shida sana kuona watu wanajenga hoja katika msingi wa tumaini mfu liitwalo CCM (muda huu Kikwete). Angalia hilo baraza "lililosukwa" kama sio aibu nyingine katika hii episode ya aibu ni nini?

I'm not negative, am just honest and direct.
 
Mwandosya anaumwa, hakustahili hata kuitwa waziri. Au jamaa kaamua kumtunzia heshima bosi wake wa zamani. Hii serikari ya kishikaji hiiiiii, mweeeeeee!!!!!!!!!!!!






Mie nashindwa kumwelewa JK sijui ni mtoto, mwoga au vipi??

Mwandosya anaumwa, angemwacha tu... ajiuguze kwanza, kama ni kwa ajili ya kumsaidia akiumwa ingekuwa akiwa nje

ya uwaziri.

Sijui jk anafanyaje kazi!!! jamani raisi huyu!!! basi angetueleza kwanini mtu ambaye ni mbojwa kampa kazi ya nanmna

ile??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom