Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,278
- 4,683
duh!!!
Hii mbona inanichanganya.
Mkono kajisafisha kisanii sana matokeo yake kajikuta anaface defamation worth Tshs 10 bn, Karamagi kajisafisha matokeo yake ananuka hata kumsogelea haifai, Chenge yeye kadai hawezi kujibu "utumbo", pia mkumbuke kuwa Karamagi alisema kuwa hawezi kujibu kwani hakuwa amepata taarifa rasmi za kutuhmiwa, I wonder kwa nini jana waandishi hawakumuuliza kama tayari kapata tuhuma rasmi, wengine bado wanapiga danadana tu, pia Kingunge si alisema kuwa wawapuuzie wapinzani na serikali /ccm hawawezi kudeal na "ujinga" wa wapinzani? Hii inaashiria nini ndugu zanguni wapendwa? Sijui che nkapa atasema nini.
The drama still unfolds na tutaona mengi na kusikia zaidi, bora Sokoine na Nyerere walijipumzikia zao mapema...
Hii mbona inanichanganya.
Mkono kajisafisha kisanii sana matokeo yake kajikuta anaface defamation worth Tshs 10 bn, Karamagi kajisafisha matokeo yake ananuka hata kumsogelea haifai, Chenge yeye kadai hawezi kujibu "utumbo", pia mkumbuke kuwa Karamagi alisema kuwa hawezi kujibu kwani hakuwa amepata taarifa rasmi za kutuhmiwa, I wonder kwa nini jana waandishi hawakumuuliza kama tayari kapata tuhuma rasmi, wengine bado wanapiga danadana tu, pia Kingunge si alisema kuwa wawapuuzie wapinzani na serikali /ccm hawawezi kudeal na "ujinga" wa wapinzani? Hii inaashiria nini ndugu zanguni wapendwa? Sijui che nkapa atasema nini.
The drama still unfolds na tutaona mengi na kusikia zaidi, bora Sokoine na Nyerere walijipumzikia zao mapema...