Ehud
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 2,685
- 337
Wana JF naleta wazo tutengeneze list ya Great Tanzanian ambao wamepata kutokea ambao bado wanaisha au walishatangulia mbele za haki. List hii ningependa iwe ya great thinker ambayo haitakuwa influenced na mambo ya dini,chama,kabila wala chochote zaidi ya mchango wa mtu mwenyewe katika eneo hili la Africa liitwalo Tanzania toka wakati ikitawaliwa katika chiefdoms na machief kama Mkwawa, Meli,Abushir bin Salim hadi akaja mkoloni ikiitwa German East Africa au Deutsch-Ostafrika,baadae Tanganyika na hadi sasa Tunapoiita Tanzania. Watu hao wanaweza kutoka nyanja zote za maisha kama Academicians, Scientist, Politicians, Freedom Fighters, Philanthropist, Wanaharakati, Economist e.t.c
Tunaweza kuwataja Randomly hata kama watazidi 100 lakini baadaye tutakuja kukubaliana tukapanga wa kwanza hadi wa mwisho kwa kufuatana na mchango wake kama nilivyoeleza hapo juu.
Kwa kuanza mimi kwangu mimi ni Kinjekitile Ngwale.
Tunaweza kuwataja Randomly hata kama watazidi 100 lakini baadaye tutakuja kukubaliana tukapanga wa kwanza hadi wa mwisho kwa kufuatana na mchango wake kama nilivyoeleza hapo juu.
Kwa kuanza mimi kwangu mimi ni Kinjekitile Ngwale.