List of 100 Great Tanzanian of all Time

Mwamindi aliemuua DR Kleruu
marehemu Brigedia Kitete supersonic aliyechora ramani ya kimkakati kumtoa Amin Ndani ya Tanzania na kumpiga ndani nya uganda
Paul Bomani jinsi alivyoiasisi VICTORIA COTTON GROWERS na ushirika kwa ujumla 1940s -1950s
Nduna Songea mbano ailyengangania kuawa baada ya wenzie 65 kunyongwa na mjeruman huko ndonde (songea ya leo
Oswald Mangombe alie introduce suala la shule kwa mwalimu wakichunga mbuzi
 
1) Abdullah Saleh Al-Farsy
2) Ali Muhsin Al-Barwani
3) Abu Muslim al-Bahlani
4) Ahmed Al-khalili
5) Hilal Kipozeo
6) Othman Maalim
7) Nassor Bachu
8) Dr Suly
9) Ngariba
 
Prof Sith Chachage RIP
Prof Haroub Othman RIP
Prof Issa Shivji
Ukiwaona Ditopile Mzuzuri RIP
Mhe. Philip Mang'ula
Abeid Aman Karume RIP
 
Songea Mbano ambaye alikuwa ni wapiganaji na msaidizi wa chifu (manduna) huko Songea. Jina lake ndilo lilipelekea chimbuko la jina la mji wa Songea mnamo 1906, kabla ya hapo paliitwa Ndonde. Alikuwa jasiri na ni mtu wa kwanza Songea kumbishia adharani mkuu wa wilaya wa Kijerumani aliyeitwa Luteni Engelhardt mnamo tarehe 12/7/1897 kukataa biashara ya utumwa na hata utawala wa Kijerumani. Alikuwa anajua sana kujenga hoja na wananchi walimsikiliza kuliko hata Chief, hivyo alifanya wakoloni kumwogopa sana. Baada ya wenzake kuuwawa na utawala dhalimu, aliwapinga hadharani na kuombwa na yeye kunyongwa, alishinda njaa hadi Wajerumani walipoamua kumnyonga na kumzika katika kaburi la peke yake, wakiamini kuwa ni mtu wa pekee mwenye ushujaa, uamuzi mzito na msimamo usioyumba.
 
sijakuelewa lengo lako hasa ni nini. ili iweje, na kwanini. fafanua vizuri.

Nyerere, J.K - Rais wa kwanza wa Tanganyika na Tanzania
Sokoine, E.M - waziri Mkuu
Mkapa, W - Rais na waziri wa mambo ya nje
Mwinyi, Al Hasan - Rais na waziri aliyejiuzulu
Slaa, Dr - Katibu Mkuu CHADEMA
Mtikila, Mch - Mwanaharakati wa haki za binadamu
6, Samwel - Spika
Adam Sap - Spika
Makweta, Jackson - Waziri wa Elimu
Prof Luhanga, Matthew - Mkuu wa UDSM
Mrema, Lyatonga, Waziri mkuu msaidizi
Kawawa, Rashid Mfaume - waziri mkuu
Mengi wa IPP - Habari na biashara
Mwanzilishi wa Jamii Forums - Habari na Jamii
Prof Shivji - Katiba na sheria
Ulimwengu, Jenerali - habari
Yule jamaa mwiraq wa marathon
Prof Othman, H - Mwanaharakti wa Haki za Binadamu
 
WanaJF, kwa nini hamkuanza na Julius Kambarage Nyerere? Yeye ametufanya tuwe taifa. na Wengi wetu tunakubali ni Baba wa Taifa.
 
Back
Top Bottom